Elections 2015 More defections in CCM as country asks:- Where is the Chief of Defence Forces?

Ni stori iliyoandikwa na mtanzania na inawezekana ni wa UKAWA. Kiingereza chake kinaonyesha hivyo. Pili, Mwandishi wa uingereza ni vigumu kuandika "mzee Kingunge".
Hakika, hii ni ya ki ukawa ukawa kabisa.
 
Angalizo: Gazeti husika-The London Evening Post, ni gazeti la kimtandao(online newsletter) ambalo humilikiwa na Mpinzani wa Mseven aitwaye Dr Henry Gombya na hutumiwa sana na Waganda waishio Uingereza-wengi wao ni wapinzani wa Mseven. Haya yaliyoandikwa juu ya uchaguzi wa Tanzania si maoni ya wazungu ila ni maoni ya Bwana mmoja aitwaye Mhegera.
 
Labda km wanajaribu kuchokoza mada. Ingawa inasemekana CDF amerudi Lakini bado haja-appear publicly

Ni upuuzzi!
Lini CDF huwa anaaga akitoka na kutoa taarifa akirudi?
Je hii ni Mara yake ya kwanza kutoka?
Cheap politics, mnajua kuwa mtashindwa na anatengeneza chaotic situation kujustify kushindwa kwenu kwa kusema kuwa uchaguzi haukuwa fair!
 
Hakuna jipya hapo, naona hizo habari wamezikusanya kwenye blogs zetu, kwani yote hayo tumeyaona humo na sioni jipya.
 
Ni stori iliyoandikwa na mtanzania na inawezekana ni wa UKAWA. Kiingereza chake kinaonyesha hivyo. Pili, Mwandishi wa uingereza ni vigumu kuandika "mzee Kingunge".

Kwa hio hii taarifa itasimwa na wabongo tu?
 

You have two parties with different mindset and focus. CCM are focusing on winning and do everything they "can" and they you have cry babies UKAWA who for will use everything in their power to complain about every tiny detail. I really hope someone sensible is watching from ICC.

It wont be 100% perfect election, not single election has been ever perfect especially now there is so much at stake. It will be recklessness to pretend that everything will go according to plan. And with that in mind, there will be a lot of exaggeration and dishonest reporting mainly from opposition.
 


Hata wazungu watatushangaa kufanya uchaguzi bila kujua mkuu wa majeshi yuko wapi.

Nilitegemea gazeti la UK kitakuwa limegusia walau kidogo alipo CDF, naona km wameandika udaku zaidi!

Pengine ndo mana hata mikataba mi kubwa yote ni ya hovyo.

Labda km wanajaribu kuchokoza mada. Ingawa inasemekana CDF amerudi Lakini bado haja-appear publicly

Haya tena hata waingereza wanajadili hii suala

Prominent figure Prof Mwandosya is ready for change!!!

Wazungu nao washenzi tu ,Mbona CDF Alikua UK Hawajasema

The London Evening Post was a pro-JacobiteToryEnglish language daily newspaper published in London, then the capital city of the Kingdom of Great Britain, from 1727 until 1797.

Kweli wajinga ndio waliwao! "hilo gazeti lilishakufa tangu mwaka 1997" Kwa sasa hivi kuna gazeti linaloitwa 'Evening standard..ambalo linatoka mchana tu siku za kazi. Halafu hebu jaribu kugonga links zenye story nyingine kwa pembeni (kulia). Hawa wasanii wa Lowassa wameunganisha na websites tofauti tofauti!

Usanii mtupu.


 
Muulizeni Tully Mwambapa nyumba ndogo atakua anajua, huyo mama mtu mzima wa kisongea amejikalid ki fanicha fanicha tu. Tully njoo hapa utueleze kinachoendelea maana hakuna siri yote yako wazi yanajulikana. familia yake jumamosi ilishiriki vizuri maombi ya asubuhi, hakuna aliyeongelea hilo na wote walionekana kama wameloa na wako under some influence, pengine instructions of how to pretend that things are fine, ila watakua ma ----- maana hili ni swala la life and death, all is not well hatuhitaji evidence ya dead board, mbona mwalimu walimuweka kwenye friji days before they announced his death, leo hii tunasherehekea tarehe feki na kutegemea maombi yanafika popote? ni sawa na kuganga kwa waganga tu
 

Kama ni hivyo sawa. Mwingereza hawezi kuandika kiingereza cha aina hii. Sentensi ndefu na uandishi wa kuweka kiingereza ndani ya Kiswahili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…