More serious, natafuta mume mwenye mapenzi ya dhati


mmmmh huo urefu sasa 165m?
 
kwa urefu wako wa 165cm (5"5) uzito wako ulitakiwa kuwa kati ya 58kgs - 65kgs; hiyo 90kgs uko so overweighted, obvious utakuwa kibonge.
All the best.
 

All the best Mage

YouTube - DEBORAH COX "BEAUTIFUL U R" EXCLUSIVE VIDEO
 
Huyu hayupo serious maana amesepa bila kutoa ufafanuzi wa maswali walioyaibua ma-bidders.
 
Ngoja nijiasses kama nimetimiza vigezo......
 
Baba mtoto yuko wapi kwanza?

Mi naona huyo wala hausiki hapa, kama una vigezo na interest, ingieni chumbani mwongee hayo yote atakuwa na majibu yake. Ila hilo jina lako daaaaa!!!
 

Mage........hapo pekundu,kutokana na tathmini ya afya una BMI (Body Mass Index) 33.1 hivyo uko obese,jitahidi ukate weight.Wengi wa ma-Gentlemen hupendelea wanawake ambao angalau wawe na normal weight au overweight ambapo wewe umevuka viwango hivi vyote. Kwa ushauri zaidi tembelea Calculate Your BMI - Metric BMI Calculator
 

hata mimi weight yake imenistua 28yrs halafu mdada una 90kgs hii ni hatari
 

Urefu wa mita 165 au nimesoma vibaya hapo kwenye red?

We mtu au Jini? Nlitaka nitangaze nia lakini nimekoma! Chumba changu kina mita tano kwa tano, sijui utalalaje na mimi?

Btw huyo uliyezaa naye imekuwaje mbona hakuoi? Labda tuanzie hapo.
 
Urefu wa mita 165 au nimesoma vibaya hapo kwenye red?

We mtu au Jini? Nlitaka nitangaze nia lakini nimekoma! Chumba changu kina mita tano kwa tano, sijui utalalaje na mimi?

Btw huyo uliyezaa naye imekuwaje mbona hakuoi? Labda tuanzie hapo.

Babu nakuona, unataka utangaze nia manake nini? Sasa urefu wake si unaendana na uzito wake?
 
Babu nakuona, unataka utangaze nia manake nini? Sasa urefu wake si unaendana na uzito wake?

Mshikiz...uwanja wa mpira una mita mia kutoga goli moja mpaka jingine. Sasa huyu ana urefu wa mita 165, yaani karibia viwanja viwili vya mpira....dah! Kwa urefu huo na uzito wa kilo 90 lazima atakuwa na kwashakoo ya kunguni.
 

Nitakuemail, baadye, kama kawaida, kwa uzito ulionao, unahitaji mume mwepesi anayeweza kumudu kazi. Ukiolewa na mnene ndoa yenu haiwezi kudumu. Kwa hiyo, nina kigezo cha ziada cha urefu na mwembamba kiasi.
 

Nimeipenda hii, Ila mshirikishe na Mungu manake wote si wanaume wa kuoa, wengine ni wavurugaji tu.
 
Tatizo huyu Mdada sijui Mmama kaingia mitini wakati stl namuinjinia!!
Arudi kwanza janvini ili a2pe detailz zaid!!!

Lakini jamani si amesema kwa mtu mwenye nia awasiliane naye na ametoa email address?
 
Nyie semeni mnene then mfupi...... ila kuna watu hawawezi kabisa kudate msichana mwembamba hata iweje mpaka ukiwaangalia unashangaa kijana umbo zuri si mnene wala nini ila dem bonge la chinene na jamaa kazimika hatari. kwa hiyo wakaka msimuogope unene wake mumjue kwanza then huwezi jua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…