Moringa wa Yanga kama CR7

Moringa wa Yanga kama CR7

Olmost

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2014
Posts
337
Reaction score
441
 
Hatimae...
IMG_20190817_135419.jpeg
 
Sasa hizi ni dhambi yaani pesa ya bakuli ya 'kubwa kuliko' imetumika kumleta huyu mjamaa....!!
 
Garasa lile,kwa kifupi Yanga kaingia choo cha kike, natizama kwa jicho la tatu usajili wake naona kabisa jirani alikurupuka mno.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Mi namwona yuko vizuri tu ila bado haja changanya.
Nimelipenda umbile lake akilitumia vizuri atatisha sana.
Ni maumbo ya akina Shiboli na Mwaikimba.
 
Umbo lile anafaa awe bouncer.Lukaku kawekwa benchi na Inter ili apunguze uzito. Ana kilo 104.Mpira sio unyanyuaji wa vyuma.
 
Back
Top Bottom