Morisson wetu yu wapi?

Hatimaye nimepata jibu leo,jamaa inasemekana ana majeraha nyonga(kwa mujibu wa ali kamwe)....swali ni je aliumia kwenye mechi gani...???na wapi???...N:B ATAKUWA NJE KWA MIEZI MIWILI.
 
Huyu jamaa atawasumbua sana

Nilimuelewa sana Mzee Azim DEWJI pale aliposhauri timu zote Simba na yanga zisimsajiri ziachane nae.

Yanga wanavuna Walichokipanda.

Nimalize kwa swali Morrison Ana Asist ngapi au MAGOLI Mangapi yanga?????
 
Hatimaye nimepata jibu leo,jamaa inasemekana ana majeraha nyonga(kwa mujibu wa ali kamwe)....swali ni je aliumia kwenye mechi gani...???na wapi???...N:B ATAKUWA NJE KWA MIEZI MIWILI.
Kumbe ulikua unajua wapi pa kupata taarifa rasimi uka amua kukaidi
 
Jamaa anakula hela kiulaini sana hapa Bongo aisee. Pesa ya Simba kidogo ndio kaitumikia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…