Morning after pills zinapatikana wapi?

Status
Not open for further replies.

longola

Senior Member
Joined
Oct 15, 2015
Posts
106
Reaction score
254
Msaada madaktari ..Kuna mtu ananiuliza morning after pills zinapatikana wapi? Na zinaaitwaje exactly kwa maduka yetu ya bongo..
 
Msaada madaktari ..Kuna mtu ananiuliza morning after pills zinapatikana wapi? Na zinaaitwaje exactly kwa maduka yetu ya bongo..
Postinor 2, kifupi zinafahamika zaidi kama P2! Ila next time usifanye utoto wa kusingizia eti kuna mtu kaniuliza. Sema nmtafutia mpenzi wangu dawa ya kufifisha ujauzito maana kazi ulioifanya iko dhahiri!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila ni kawaida ya raia humu, hata mkewe akimzingua analeta story na kujifanya ni rafiki yake ndio amepatwa na huo msala
Na ndio mana amekosa wachangiaji[emoji12][emoji12]

Umeamkaje!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…