Kobe
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 1,794
- 812
Habari wakuu..
Naomba kupata maarifa kuhusu hii kitu kuamka kwa uume wakati wa asubuhi kwa wanaume wengi..na baadhi huwa hawaamki na hiyo hali..lakini hawana tatizo la kujamii kwa maana wanafanya tendo la ndoa pasi na shida.. je hali ya kuamka na kutoamka nini faida na madhara yapatikanayo kibinadam na kwa wasio amka uume umesisimka asubuhi nini kifanyike kurekebisha kasoro hiyo.
Natanguliza shukran kwenu.
Naomba kupata maarifa kuhusu hii kitu kuamka kwa uume wakati wa asubuhi kwa wanaume wengi..na baadhi huwa hawaamki na hiyo hali..lakini hawana tatizo la kujamii kwa maana wanafanya tendo la ndoa pasi na shida.. je hali ya kuamka na kutoamka nini faida na madhara yapatikanayo kibinadam na kwa wasio amka uume umesisimka asubuhi nini kifanyike kurekebisha kasoro hiyo.
Natanguliza shukran kwenu.