Morning glory leaves your eyes sexy the whole day...

Twande

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2009
Posts
543
Reaction score
174
Yes ladies.. Try it.. Nayapenda sana macho yangu the day nikipata chakula cha uzima asubuhi.. Guys try to your partners the problem is baada ya hapo mnatawanyika mnaelekea kwenye majukumu lol...
 
:happy:

Wewe, khaaa, hebu badili hiyo heading yako, wenzako tulianza dhani ni yale Maombi na Maombezi ya Ausbuhi ati....hahaaa

Ntarudi kesho
 
:evil::evil:Morning glory inafaa sana! Uzoefu unaonyesha kuwa mke akipata angalau round moja ya maziwa ile alfajiri, anakuwa mchangamfu mchana kutwa! Waume, wapeni maziwa wapendwa wenu nyakati za alfajiri kabla hamjaamka kwenda kwenye mihangaiko ya maisha ili kuwafanya wawe na furaha na kuwapunguzia hasira zisizo na msingi mchana kutwaaaaaa!!!!!!!!!:evil::evil:
 
wow wow wow. ngoja nami niianze research hiyo...ntatoa ushuhuda wangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…