Morning glory leaves your eyes sexy the whole day...

Morning glory leaves your eyes sexy the whole day...

Twande

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2009
Posts
543
Reaction score
174
Yes ladies.. Try it.. Nayapenda sana macho yangu the day nikipata chakula cha uzima asubuhi.. Guys try to your partners the problem is baada ya hapo mnatawanyika mnaelekea kwenye majukumu lol...
 
so ikiwezekana kila siku kipatikane chakula cha uzima asubuhi ili macho yawe sexy. hii kali!!!!!!!!!!!!!!
 
Pangalashaba kama ari na uwezo upo just do it..
 
Yes ladies.. Try it.. Nayapenda sana macho yangu the day nikipata chakula cha uzima asubuhi.. Guys try to your partners the problem is baada ya hapo mnatawanyika mnaelekea kwenye majukumu lol...

ndo maana mnatusumbua na minanihii kwenye daladala kumbe ndo mmetoka kupata hiyo mi glory morningi sijui ...aaaagh nyie bana
 
ndo maana mnatusumbua na minanihii kwenye daladala kumbe ndo mmetoka kupata hiyo mi glory morningi sijui ...aaaagh nyie bana
Hahahaha!!!! Habari yake morning glory banaaa
 
Yes ladies.. Try it.. Nayapenda sana macho yangu the day nikipata chakula cha uzima asubuhi.. Guys try to your partners the problem is baada ya hapo mnatawanyika mnaelekea kwenye majukumu lol...


LOL...LOL... I really wish ningekuona hayo macho baada ya wewe kupata hicho chakula... Twande genuinely umewaza nini??
 
genuinely unakuwa unakumbuka nini gaga?
Nakumbuka nilivokuwa nachoshwa nakuwa na raha tu kila gari nayokutana nayo nawapungia mkono, nakumbuka mengi Kaizer
 
We acha tu ukifika kazini siku hiyo kila mtu unamsalimia kwa shangwe, utasikia G leo mbona uso wako una glow hivo lol!!!


Sasa kitu gani kinazuia wewe kupata chakula hicho kila siku so that your days are colorful???
 
Sasa kitu gani kinazuia wewe kupata chakula hicho kila siku so that your days are colorful???
katika hali ya kawaida huw haiwezekani AshaD labda muwe newly wed na hakuna majukumu wala watoto ila miaka inavyoenda kuna vitu vingi vya kufanya, kama asubuhi wakati unatakiwa upate hiyo kitu unaandaa watoto waende shule,hii inajitokeza ila sio kila siku mpenzi
 
katika hali ya kawaida huw haiwezekani AshaD labda muwe newly wed na hakuna majukumu wala watoto ila miaka inavyoenda kuna vitu vingi vya kufanya, kama asubuhi wakati unatakiwa upate hiyo kitu unaandaa watoto waende shule,hii inajitokeza ila sio kila siku mpenzi


Kweli dear ndo maana siku ukifaniwa kupata huo msoso inakua worth it....
 
@Asha.. Nilipenda macho yangu muda huo najiandaa hahahaaaa..genuinly
 
Gaga nimependa iyo lol.. Then have a look at ya eyes too
@Asha nimjibie gaga mi more Than 10 yrs and no reglets
..
 
Kweli dear ndo maana siku ukifaniwa kupata huo msoso inakua worth it....
Asha sikuwahi kuregret kuolewa hata siku moja mwenzangu rahaa nyingi kuliko maudhi na nayaface yote kwa uwezo wake muumba.mbona ume edit?
 
Back
Top Bottom