Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 390
- 1,425
Hili ni somo kwa vilabu vyetu vya Simba na Yanga vinavyokwenda kushiriki championship kuwa ukitaka kufanya vzr basi jiandae kimkakati mapema kama walivofanya Morocco.
Morocco walipofuzu tu kombe la dunia, walikaa chini, serikali, vilabu vya soka, shirikisho la soka, wafanyabiashara na wadau mbalimbali, wakaambiana kuwa kombe la dunia is not an easy task, you go and meet with giants like Portugal, England, Brazil, Germany, Spain nk.Hata kama walitolewa hao giants lkn mkakati ilikuwa namna gani tunaweza kupambana nao maana anything can happen.
Wakaanza kusaka wachezaji wenye quality ya kukabiliana na akina Ronaldo, wachezaji hao wazawa walikuwa ulaya, wakatumwa watu kwenda kuwafuata na kuwa convince, wakakubali.
Mkakati mwingine ni ushirikiano, kila mdau atoe sapoti kwa sala na dua.
Wamefika hapo sio kwa kubahatisha, Simba na Yanga nawashauri mnakwenda kwenye championship mnaishia robo tu, kaeni angalieni quality ya wachezaji mliokuwa nayo ni ya kufika nusu au final? Mna benchi nzuri la ufundi au mnategemea jezi nyeusi kushinda?
Huo ni ushauri tu
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Morocco walipofuzu tu kombe la dunia, walikaa chini, serikali, vilabu vya soka, shirikisho la soka, wafanyabiashara na wadau mbalimbali, wakaambiana kuwa kombe la dunia is not an easy task, you go and meet with giants like Portugal, England, Brazil, Germany, Spain nk.Hata kama walitolewa hao giants lkn mkakati ilikuwa namna gani tunaweza kupambana nao maana anything can happen.
Wakaanza kusaka wachezaji wenye quality ya kukabiliana na akina Ronaldo, wachezaji hao wazawa walikuwa ulaya, wakatumwa watu kwenda kuwafuata na kuwa convince, wakakubali.
Mkakati mwingine ni ushirikiano, kila mdau atoe sapoti kwa sala na dua.
Wamefika hapo sio kwa kubahatisha, Simba na Yanga nawashauri mnakwenda kwenye championship mnaishia robo tu, kaeni angalieni quality ya wachezaji mliokuwa nayo ni ya kufika nusu au final? Mna benchi nzuri la ufundi au mnategemea jezi nyeusi kushinda?
Huo ni ushauri tu
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app