mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 8,860
- 11,554
Hivi Cameroon na Senegal walishatolewa?I know but it's the only African team so far remains in world cup campaign lets stand firm and support them and break our sill ego and barriers lets do it.
Pole hela utazipata wewe weka bidiiUmemkubali sio hata mimi nipo kama yeye sema sina hela naunga unga [emoji1787][emoji1787]
Muda mrefuuuuHivi Cameroon na Senegal walishatolewa?
Sasa kamaanisha Nini wakati kasema ushindi wa Morocco ni Kwa ajili ya warabu na Morocco na waislam na c waafrica , utadhani wenyewe hawapo Africa , bila shaka ww ndio utakua umeshikiwa akili aiseeWaafrika kwa upuuzi ndio maana wazungu wanatuchezea akili na nina uhakika aliyeanzisha hizo movement kwamba jamaa kakosea sio waafrika yaani waafrika ni empty memory card yoyote atakayewahi kumjaza ujinga anaamini hata pale libya waliosema Gaddafi hafai na anawaonea raia wa Libya sio mu Africa na alifanikiwa leo hii wanalalamika yaani hata aliyeanzisha hiyo hoja sio kutoka Africa na anacheka kawakamata masikio tayari wakati mwamba hakumaanisha watu walivyo dhamiria Kama wewe.
Sijaona kitu cha kujadili kwenye maelezo yake ni ujinga tu wa waafrika huwezi mpangia mtu kitu cha kuongea sasa kwani kama hajaitaja Africa shida iko wapi.Sasa kamaanisha Nini wakati kasema ushindi wa Morocco ni Kwa ajili ya warabu na Morocco na waislam na c waafrica , utadhani wenyewe hawapo Africa , bila shaka ww ndio utakua umeshikiwa akili aisee
Hata mimi sina kitambi baby usihangaikeIla kocha mtamu hana kitambi[emoji4]nilimuona siku hiyo aliangaika vibaya mno sidhani kama hata alikaa
Hivi inakuwaje hawa wa Morocco waitwe waafrica. Hapa tumepigwa.
Wacha kwanza nimalizane na kocha wa Morocco huwezi juwaHata mimi sina kitambi baby usihangaike
North Africa bana.NB: Morocco is an Arabic country located at southern Europe
The world cup final will be Netherlands against Morocco and many people they don't believe it as they didn't in the round of sixteen clash against Spain but I believe Morocco they will make it to the final and win it for the first time in world cup history.Morocco is going to be the winner of the world cup 2022.
so urge my fellow African to support or team Morocco.
Si ameomba Razi jamani? HahahahHawa jamaa sio nilifurahi kweli kuona wameshinda illa nimehuzunika Kwa Hili naombea ureno wapite tu , ni wabaguzi wa Hali ya juuView attachment 2439532
Hawapo Afrika, we unawaonaje ndugu.Sasa kamaanisha Nini wakati kasema ushindi wa Morocco ni Kwa ajili ya warabu na Morocco na waislam na c waafrica , utadhani wenyewe hawapo Africa , bila shaka ww ndio utakua umeshikiwa akili aisee
Mtaje kwa jina huyo mzungu aliyeanzisha hiyo hoja, usisahau kuweka na picha yake.Waafrika kwa upuuzi ndio maana wazungu wanatuchezea akili na nina uhakika aliyeanzisha hizo movement kwamba jamaa kakosea sio waafrika yaani waafrika ni empty memory card yoyote atakayewahi kumjaza ujinga anaamini hata pale libya waliosema Gaddafi hafai na anawaonea raia wa Libya sio mu Africa na alifanikiwa leo hii wanalalamika yaani hata aliyeanzisha hiyo hoja sio kutoka Africa na anacheka kawakamata masikio tayari wakati mwamba hakumaanisha watu walivyo dhamiria Kama wewe.
Kasema mwenyewe kuwa Morocco sio Africa na akadai kuwa aliyeanzisha hiyo ajenda sio wa kutokea Africa, mie nilimtaka amtaje ili nijilizishe na usemi wake.Kwani lazima awataje waafrika kwani Morocco ipo ulaya.