Morocco National Football Team (The Atlas Lions) Special Thread

Mungu hapendi ubaguzi

Unataka kusema hushabikii timu yoyote ya ulaya au amerika? Pamoja na ubaguzi uliopo likiwemo la kufananishwa na nyani+kutupiwa maganda ya ndizi hilo hulioni! Na bado unaendelea kushabikia timu zao!

Hilo la Morocco una ushahidi gani kama ni mchezaji mmoja au wote wametamka hilo!

Pili-swala la ubaguzi hata huku lipo, tena sanaa.

Mimi nitaendelea kushabikia waislamu wenzangu in shaa Allah, japo mpira ni haram kutokana na yaliomo ndani yake.
 
Morocco 🇲🇦 <>Zambia, saa4:00

Best of luck Simba wa Atlas
 
FT, Morocco 1-0 Zambia

Morocco ameingia 16 bora 💪🏽💪🏽
 

Safi sana, huu ni mtego na wamegonga mwamba

I'm so happy kocha wetu kurejea, South Africa jiandae na kipigo cha mbwa koko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…