Morocco watoka sare 1-1 na Congo

Morocco watoka sare 1-1 na Congo

Christopher Wallace

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2015
Posts
1,479
Reaction score
3,788
Kundi F linazidi kunoga. Morocco watoka sare na DR Congo 1-1 na kufanya kundi F lizidi kuwa gumu.

Goli la Morocco lilifungwa na Hakimi huku goli la kufutia machozi la Congo likifungwa na Katompa.

DR Congo walikosa penati baada ya beki Inonga kupigwa kiwiko ndani ya box la Morocco.

Msimamo wa Kundi F upo hivi
IMG_9515.jpeg
 
Kundi F linazidi kunoga. Morocco watoka sare na DR Congo 1-1 na kufanya kundi F lizidi kuwa gumu.

Goli la Morocco lilifungwa na Hakimi huku goli la kufutia machozi la Congo likifungwa na Katompa.

DR Congo walikosa penati baada ya beki Inonga kupigwa kiwiko ndani ya box la Morocco.

Msimamo wa Kundi F upo hiviView attachment 2878764
Goli la kufutia machozi la Congo? Uandishi mwengine bana. Halafu huyu mara utamkuta ndio mhariri wa gazeti la kiongozi
 
Back
Top Bottom