Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,479
- 3,788
Kundi F linazidi kunoga. Morocco watoka sare na DR Congo 1-1 na kufanya kundi F lizidi kuwa gumu.
Goli la Morocco lilifungwa na Hakimi huku goli la kufutia machozi la Congo likifungwa na Katompa.
DR Congo walikosa penati baada ya beki Inonga kupigwa kiwiko ndani ya box la Morocco.
Msimamo wa Kundi F upo hivi
Goli la Morocco lilifungwa na Hakimi huku goli la kufutia machozi la Congo likifungwa na Katompa.
DR Congo walikosa penati baada ya beki Inonga kupigwa kiwiko ndani ya box la Morocco.
Msimamo wa Kundi F upo hivi