Kama mademu wa samaki samaki wamemshinda aende ata kaumbaUmekosa dem wa kumalizana nae usiku kutokana na udomozege wako unaanza kulalamika,upo Morogoro ipi weyee chadomo?
Domozege anabaki kulialia tu hapaKama mademu wa samaki samaki wamemshinda aende ata kaumba
Imagine mji wa zamani Kama huu Maeneo ya burudani mnataka mawili tuu samaki2 na kahumba namimi naongezea mbili Kuna hii hapa round about na ile terminal pub na kule nyuma zaidi ya hapo Moro hamna kitu Yani mji mzima mnapub tano tu wilaya kibao zinawafunika.Kama mademu wa samaki samaki wamemshinda aende ata kaumba
Utakuwa ulikosa sehemu ya kugida saa nne usiku, ila ujue Moro kuna wezi wengi kama kunguni kwenye kitanda cha kamba.Morogoro is a sleeping giant
Such a town to sleep at 10:40 is an absurd yet you want to be awarded city status! Noooo big nooo
Kuna na wezi wengi sio sifa nzuri.Utakuwa ulikosa sehemu ya kugida saa nne usiku, ila ujue Moro kuna wezi wengi kama kunguni kwenye kitanda cha kamba.
Nayo ni sifa, kuna sifa nzuri na sifa mbaya, kutokana na sifa ya wezi watu na wafanyabiashara hujifungia majumbani mapema. Hakuna kitu ambacho hakikunifurahisha kama mwendazake kuwaona mashujaa wezi wa petroli kwa kuapa pesa walionusurika na kuwajengea mnara wafu.Kuna na wezi wengi sio sifa nzuri.
Sio wote waliokufa kwa moto ule wa Petroli walikuwa wezi,wapo ambao walikuwa ni wapita njia, wengine hawakujua nini kinaendelea wakajikuta wanadakwa na moto na kuungua, Wengine walikuwa wanashangaa tu wakadakwa nao na Moto, Binafsi sipingani nae kwasababu hatupaswi kuhukumu.Nayo ni sifa, kuna sifa nzuri na sifa mbaya, kutokana na sifa ya wezi watu na wafanyabiashara hujifungia majumbani mapema. Hakuna kitu ambacho hakikunifurahisha kama mwendazake kuwaona mashujaa wezi wa petroli kwa kuapa pesa walionusurika na kuwajengea mnara wafu.
Siyo wilaya, ni kijiji kilichobahatika kuwa na machangudoa na FM radioMorogoro ni kawilaya kaliko changamka jiji hapana.
Wewe unaijua vizuri morogoroMji mdogo sana ukitoka mjini ,msavu Kihonda tayari mji ushaisha
Morogoro imepooza sana ukitoa samaki samaki, star park ,vybee Kihonda sijui mnabakiwa na nini
Vyuo vikifungwa mji una pooza mno pamoja na kuwa na vyanzo vya maji vingi bado mji una shida ya maji
Waluguru washamba sana kila siku mtadanganywa na mbunge wenu yule singa mkipewa gari la misiba basi mnaona mmesaidiwa kweli
Wazawa hawataki kazi sanasana udalali na day work ya bodaboda yani unaomba trip kazaa na wewe upate elfu mbili
Kule wezi wengi hasa mafiga ,Sua vibanda ni kipindi kile walikuwa wanatupiga kabali wanachuo ..plus wala unga wengi mitaa ya Manzese .. halafu Morogoro single mother wengi wanawake wa Morogoro ni kama kuku wa kienyeji ujanja wako tu hata kama ameolewa
Maduka yanawahi kufungwa na yanachelewa kufunguliwa tena hasa mjini hivi kweli mko serious na kazi ?
Omba omba usiombe ...mara Oya dogo nitoe buku basi ..mara nitoe elfu mia tano ..
Mkoa wa hovyo sana
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Naijua vizuri sana nilisoma Sua pale na nilikuwa naishi mtaani najichanganya na wana so naijua A to ZWewe unaijua vizuri morogoro
Ushawahi kwenda tanga weweMji mdogo sana ukitoka mjini ,msavu Kihonda tayari mji ushaisha
Morogoro imepooza sana ukitoa samaki samaki, star park ,vybee Kihonda sijui mnabakiwa na nini
Vyuo vikifungwa mji una pooza mno pamoja na kuwa na vyanzo vya maji vingi bado mji una shida ya maji
Waluguru washamba sana kila siku mtadanganywa na mbunge wenu yule singa mkipewa gari la misiba basi mnaona mmesaidiwa kweli
Wazawa hawataki kazi sanasana udalali na day work ya bodaboda yani unaomba trip kazaa na wewe upate elfu mbili
Kule wezi wengi hasa mafiga ,Sua vibanda ni kipindi kile walikuwa wanatupiga kabali wanachuo ..plus wala unga wengi mitaa ya Manzese .. halafu Morogoro single mother wengi wanawake wa Morogoro ni kama kuku wa kienyeji ujanja wako tu hata kama ameolewa
Maduka yanawahi kufungwa na yanachelewa kufunguliwa tena hasa mjini hivi kweli mko serious na kazi ?
Omba omba usiombe ...mara Oya dogo nitoe buku basi ..mara nitoe elfu mia tano ..
Mkoa wa hovyo sana
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Taja huko kwenu MoshiImagine mji wa zamani Kama huu Maeneo ya burudani mnataka mawili tuu samaki2 na kahumba namimi naongezea mbili Kuna hii hapa round about na ile terminal pub na kule nyuma zaidi ya hapo Moro hamna kitu Yani mji mzima mnapub tano tu wilaya kibao zinawafunika.