Morogoro: Atuhumiwa kula njama kumuua mumewe ili ale raha na bodaboda

Huyo mwalimu pia alikuwa boya.
Mwanamke anakusaliti unajua anakuomba msamaha unakubali.
Vifo vingine kujitakia
mkuu huyo mwamba ni mseminari pasee kanyooka kapiga hapo de sales morogoro....sema kuna kariba ya wanawake hawapendi mwanamme aliepoa.

Nilishakuwa na mamanzi tofauti tofauti kuna mmoja alivyosikia nna manzi mwingine ndiyo kwanza alizidisha mapenzi kwangu na kuangalia ye anakosea wapi na kuna mwingine alivyosikia nina manzi alinidump kabisa na kuumia sana moyoni kwake na mpaka kesho ananilaumu kwa umalaya wangu nimefanya kakosa mme bora wa moyo wake.So wataalam wenzangu hawa viumbe ni kuwajua mapema.
So kwa kuangalia sura ya shemeji yetu hapo utaona kachangamka kabisa.
 
Jamaa angemuacha mapema tu alipojiridhisha kua anachepuka.

Kwa mwanamke anaweza kukua eidha ni wewe unachepuka au yeye anachepuka yaani haijalishi mchepukaji ni nani kati yenu.

Ni bora uchepuke wewe atakuvumilia na kujiliza ila akichepuka yeye ni balaa zaidi.
 
Kwa maoni yangu, Huyo Marehemu amekufa kifo cha kujitakia. Kwa nini aliendelea kumng'ang'ania huyo mwanamke licha ya kujua kwamba huyo mwanamke tayari alishavunja maadili na miiko yote kabisa ya ndoa?? Mwanamke hadi ameamua kuzaa mtoto na mwanaume mwingine wa nje ya ndoa then yeye bado tu aliendelea kuishi naye kama mke wake? How comes ? Yaani unajua kabisa kwamba kwenye ndoa yako yupo mtoto haramu wa nje ya ndoa na baba yake huyo mtoto anakuja hadi nyumbani kwako halafu wewe mwanaume bado tu unaendelea kuishi na huyo mwanamke??!! Huo ni uzoba wa hali gani??Hata kama alilishwa limbwata, hiyo hali siyo ya kawaida hata kidogo, uzoba wa mwanaume huyo ulivuka mipaka.
Kafa kifo cha kujitakia!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…