Morogoro: Kada wa CCM atwangwa ngumi nzito na Mwenyekiti wake na kuvimba uso

Morogoro: Kada wa CCM atwangwa ngumi nzito na Mwenyekiti wake na kuvimba uso

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Diwani wa CCM kata ya Uwanja wa Taifa mjini Morogoro, Rashid Matesa ajeruhiwa baada ya kupigana na mwenyekiti wa CCM kata hiyo, Athumani Mswagala kwenye kikao cha chama kwa kinachodaiwa kupinga hoja ya mwenyekiti wake kutaka viongozi wawili wajadiliwe kutokana na utovu wa nidhamu


20220505_172444.jpg
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aibu,aibu
 
Mbona wamegusana tu.. Hawana hats bisibisi!??
Na kazi iendelee
 
Imeandikwa, nitampiga mchungaji na kondoo watatawanyika.
CCM sasa ni kama wajenzi wa mnara wa babeli
 
kupinga hoja ya mwenyekiti wake kutaka viongozi wawili wajadiliwe kutokana na utovu wa nidhamu
nadhani mwenyekiti aliona ili kulazimisha wajadiliwe, sasa basi apigane mbele ya wajumbe
 
Back
Top Bottom