philltaya
Member
- Sep 5, 2015
- 53
- 11
Makundi ya Tembo yamevamia katika baadhi ya vijiji vya kata ya Lubungo wilayani Mvomero kijiji cha vianzi kitongoji cha Menge mkoani Morogoro na kuharibu mazao kwa mara nyingine tena.
Mmoja wa waathiriwa na Tembo hao Bwn Jeremiah Tayari na Bwan Mwombeki wamesena hii ni mara ya pili sasa kutokea kwa uharibifu huo tembo wamemaliza chakula chote walichotegemea, taarifa zimefika katika ngazi husika lakini hawaoni jitahada ya kuona kama kuna uwezekano wa kutatua tatizo hilo.
Tembo hao wanadaiwa kuvamia kwenye maeneo hayo mara kwa mara na kufanya uharibifu wa mazao ambao wanadaiwa huenda wakawa wanatoka hifadhini, lakini kwa awamu hii tembo wamekuwa wengi zaidi kuliko kawaida ya awamu zilizopita.
Mmoja wa waathiriwa na Tembo hao Bwn Jeremiah Tayari na Bwan Mwombeki wamesena hii ni mara ya pili sasa kutokea kwa uharibifu huo tembo wamemaliza chakula chote walichotegemea, taarifa zimefika katika ngazi husika lakini hawaoni jitahada ya kuona kama kuna uwezekano wa kutatua tatizo hilo.
Tembo hao wanadaiwa kuvamia kwenye maeneo hayo mara kwa mara na kufanya uharibifu wa mazao ambao wanadaiwa huenda wakawa wanatoka hifadhini, lakini kwa awamu hii tembo wamekuwa wengi zaidi kuliko kawaida ya awamu zilizopita.