BigTall
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 525
- 1,257
Watu watatu ambao ni Wanaume wawili na Mwanamke mmoja wamefariki na mmoja kujeruhiwa katika ajali ya gari baada ya Lori kuacha njia na kuingia katika nyumba iliyo karibu na barabara Mikumi Barabara ya Morogoro-Iringa.
Majeruhi Rajabu Kapomba amesema ajali hiyo imetokea alfajiri ya leo machi 25 mwaka huu baada ya Lori hilo lenye tela namba za Usajili T.947BQB lililokuaa litokea Songea kuelekea Dar es salaam kufeli brenki na kugonga nyumba.
Daktari wa zamu hospitali ya St. Kizito Mikumi Simon Veda kwenye mahojiano na @ayotv_ amethibitisha kupokea miili ya Watu hao watatu akiwemo Dereva, abiria mmoja na Mtembea kwa miguu huku majeruhi akiendelea kupatiwa matibabu katika hospitali hiyo.
Chanzo: Millard Ayo
Majeruhi Rajabu Kapomba amesema ajali hiyo imetokea alfajiri ya leo machi 25 mwaka huu baada ya Lori hilo lenye tela namba za Usajili T.947BQB lililokuaa litokea Songea kuelekea Dar es salaam kufeli brenki na kugonga nyumba.
Daktari wa zamu hospitali ya St. Kizito Mikumi Simon Veda kwenye mahojiano na @ayotv_ amethibitisha kupokea miili ya Watu hao watatu akiwemo Dereva, abiria mmoja na Mtembea kwa miguu huku majeruhi akiendelea kupatiwa matibabu katika hospitali hiyo.
Chanzo: Millard Ayo