..katika kupekua-pekua kwenye mtandao nimekutana na kipande cha historia.
..Morogoro ndiyo makao makuu ya kwanza ya ANC uhamishoni.
..hii ni kabla ya ANC kuhamia Lusaka.
..makao makuu ya Umkhonto We Sizwe[ majeshi ya ANC] yalikuwa Kongwa.
..mwaka 1969 kulitokea mfarakano kati ya Tanzania na ANC na kupelekea "kufukuzwa" kutoka Tanzania.
..mfarakano huo ulitokana na tuhuma za ANC kushirikiana na Oscar Kambona kutaka kumpindua Mwalimu Nyerere.
..kutokana na mfarakano huo Tanzania iliwatimua wapiganaji wa ANC, na hivyo kupelekea makao makuu ya ANC kuhamia Lusaka, Zambia.
..kidogo kidogo mahusiano yetu yalirejeshwa ambapo Tanzania ilipokea tena vijana wa ANC kati ya 1972 to 73.
NB:
..kutokana na kupokea kwetu wakimbizi toka kwa ndugu zetu wa Kusini mwa Afrika, Tanzania ilipata kushambuliwa na Makaburu wa Afrika Kusini. Kuna matukio matatu ambayo nimepata kuyasikia. Tukio la kwanza ni shambulizi la manowari za Afrika Kusini zilizoingia Dsm. Tukio la pili ni kuwekwa sumu ktk Mto Ngerengere ambao ulikuwa chanzo cha maji kwenda kwenye kambi la ANC. Tukio la tatu ni jaribio la utekaji nyara wa ndege lililofanywa na kaburu aliyekuwa akifundisha askari wa Umkhonto We Sizwe. Nadhani ilikuwa ni ndege ya Zambia lakini ndege hiyo ililazimika kutua Dsm baada ya vijana wa ANC kumzidi nguvu kaburu huyo na kumkabidhi kwa wanausalama wa Tz.
cc Jasusi, Echolima, EMT, NasDaz, Kichuguu, Shwari, Echolima, Nguruvi3, Mzee Mwanakijiji, Ben Saanane, Mohamedi Mtoi, Mag3, MwanaDiwani
..Morogoro ndiyo makao makuu ya kwanza ya ANC uhamishoni.
..hii ni kabla ya ANC kuhamia Lusaka.
..makao makuu ya Umkhonto We Sizwe[ majeshi ya ANC] yalikuwa Kongwa.
..mwaka 1969 kulitokea mfarakano kati ya Tanzania na ANC na kupelekea "kufukuzwa" kutoka Tanzania.
..mfarakano huo ulitokana na tuhuma za ANC kushirikiana na Oscar Kambona kutaka kumpindua Mwalimu Nyerere.
..kutokana na mfarakano huo Tanzania iliwatimua wapiganaji wa ANC, na hivyo kupelekea makao makuu ya ANC kuhamia Lusaka, Zambia.
..kidogo kidogo mahusiano yetu yalirejeshwa ambapo Tanzania ilipokea tena vijana wa ANC kati ya 1972 to 73.
NB:
..kutokana na kupokea kwetu wakimbizi toka kwa ndugu zetu wa Kusini mwa Afrika, Tanzania ilipata kushambuliwa na Makaburu wa Afrika Kusini. Kuna matukio matatu ambayo nimepata kuyasikia. Tukio la kwanza ni shambulizi la manowari za Afrika Kusini zilizoingia Dsm. Tukio la pili ni kuwekwa sumu ktk Mto Ngerengere ambao ulikuwa chanzo cha maji kwenda kwenye kambi la ANC. Tukio la tatu ni jaribio la utekaji nyara wa ndege lililofanywa na kaburu aliyekuwa akifundisha askari wa Umkhonto We Sizwe. Nadhani ilikuwa ni ndege ya Zambia lakini ndege hiyo ililazimika kutua Dsm baada ya vijana wa ANC kumzidi nguvu kaburu huyo na kumkabidhi kwa wanausalama wa Tz.
cc Jasusi, Echolima, EMT, NasDaz, Kichuguu, Shwari, Echolima, Nguruvi3, Mzee Mwanakijiji, Ben Saanane, Mohamedi Mtoi, Mag3, MwanaDiwani