Morogoro, Mpanda na Mwanza ni sehemu poa sana na mna nafasi yenu peponi

Morogoro, Mpanda na Mwanza ni sehemu poa sana na mna nafasi yenu peponi

Tajiri wa kusini

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2022
Posts
1,079
Reaction score
2,947
Kataa au ukubali sehemu tajwa hapo juu kusema ukweli ni poa sana kuishi na kufanya makazi na watu wake wala hawana shida na wageni kabisa yaani ukiishi kwenye hiyo mikoa unapata ladha ya furaha ya maisha sio kama wale wa kanda ya kaskazini wamejaa ubinafsi na majungu tu na wivu kwa wageni.

Kwangu mimi mwanza,mpanda na Morogoro bila kukosa kahama nawapenda sana I feel like home japo Mimi ni mzaliwa wa mtwara ila sehemu tajwa hapo juu it is second home.
 
Kuna jamaa wa tamisemi nimem "save" kama jina lako. Sasa kunajamaa yangu yupo bush ndani ndani alinitafuta nimfanyie mchongo wa kuhama. Basi nami nikafanya mawasiliano na tamisemi ndo nikapewa namba zake.

Aiseee jamaa ni liongoo, tapeli + lizinziiii, maana alitaka 1m akapewa nusu zikaanza Dana Dana aiseee miaka 2 ilikata mpaka jamaa nikamfanyia plan B ndo akahama.
 
Kataa au ukubali sehemu tajwa hapo juu kusema ukweli ni poa sana kuishi na kufanya makazi na watu wake wala hawana shida na wageni kabisa yaani ukiishi kwenye hiyo mikoa unapata ladha ya furaha ya maisha sio kama wale wa kanda ya kaskazini wamejaa ubinafsi na majungu tu na wivu kwa wageni

Kwangu mimi mwanza,mpanda na morogoro bila kukosa kahama nawapenda Sana I feel like home japo Mimi ni mzaliwa wa mtwara ila sehemu tajwa hapo juu it is second home
Kwa Arusha ukija kindezi tunakutoa baru, huku wanaishi wagumu tuu.Ila karibu tuangalie muvi
 
Nimewahi kufika Morogoro, watu wa kule wana upendo na wapo vizuri sana kijamii. Na Dodoma pia nao wako vizuri.
 
Kataa au ukubali sehemu tajwa hapo juu kusema ukweli ni poa sana kuishi na kufanya makazi na watu wake wala hawana shida na wageni kabisa yaani ukiishi kwenye hiyo mikoa unapata ladha ya furaha ya maisha sio kama wale wa kanda ya kaskazini wamejaa ubinafsi na majungu tu na wivu kwa wageni

Kwangu mimi mwanza,mpanda na morogoro bila kukosa kahama nawapenda Sana I feel like home japo Mimi ni mzaliwa wa mtwara ila sehemu tajwa hapo juu it is second home
Najua unajaribu kulinganisha na wale jamaa zenu wa Mtwara ambao wanawabua sana watu wa mikoani, wanawaita wa Kaskazini kwa sababu Mtwara ipo Kusini.

Hivi pale mjini bado wana mambo ga ubaguzi kwa wageni au imebaki vijijini? Na ndio ukirudi Mtwara uwaelimishe ndugu zako kwamba, Tanzania ni moja
 
We mtoto wa Mama? ..umeshindwa kuishi Chuga?
Huku ukija na adabu sawa ukija na vangavanga unapata vangavanga....
 
Kataa au ukubali sehemu tajwa hapo juu kusema ukweli ni poa sana kuishi na kufanya makazi na watu wake wala hawana shida na wageni kabisa yaani ukiishi kwenye hiyo mikoa unapata ladha ya furaha ya maisha sio kama wale wa kanda ya kaskazini wamejaa ubinafsi na majungu tu na wivu kwa wageni.

Kwangu mimi mwanza,mpanda na Morogoro bila kukosa kahama nawapenda sana I feel like home japo Mimi ni mzaliwa wa mtwara ila sehemu tajwa hapo juu it is second home.
Umesahau Mbeya, Songea na Iringa
 
Kataa au ukubali sehemu tajwa hapo juu kusema ukweli ni poa sana kuishi na kufanya makazi na watu wake wala hawana shida na wageni kabisa yaani ukiishi kwenye hiyo mikoa unapata ladha ya furaha ya maisha sio kama wale wa kanda ya kaskazini wamejaa ubinafsi na majungu tu na wivu kwa wageni.

Kwangu mimi mwanza,mpanda na Morogoro bila kukosa kahama nawapenda sana I feel like home japo Mimi ni mzaliwa wa mtwara ila sehemu tajwa hapo juu it is second home.
Yaani Shinyanga mkuu ndiyo unatutupa kabisa? Hapa kwetu mgeni akiulizia mahali kwamba kapotea tunamsindikiza mpaka anakoenda! Hiyo yote ni jinsi tulivyo na upendo na watu!
 
Najua unajaribu kulinganisha na wale jamaa zenu wa Mtwara ambao wanawabua sana watu wa mikoani, wanawaita wa Kaskazini kwa sababu Mtwara ipo Kusini.

Hivi pale mjini bado wana mambo ga ubaguzi kwa wageni au imebaki vijijini? Na ndio ukirudi Mtwara uwaelimishe ndugu zako kwamba, Tanzania ni moja
Watu wa Mtwara mizinguo san
 
Back
Top Bottom