Akasankara
JF-Expert Member
- Feb 28, 2015
- 4,210
- 5,752
Kuongea ukweli ndo kumkashifu Rais. Kipi amekisema kwenye wimbo wake ni cha uongo?Vitu vingne ni vya kujitakia....Acha aisomee NUMBER.....inajulikana kabsa huyu kipindi kile cha kampeni alikuwa TEAM LOWASSA afu na upuuzi wake anaimba nyimbo za kumkashifu RAIS afu aachwe.....
Huyu Rais ana pepo kwakweli,kina Roma wangekuwa jela kama JK angekuwa JPM!Vitu vingne ni vya kujitakia....Acha aisomee NUMBER.....inajulikana kabsa huyu kipindi kile cha kampeni alikuwa TEAM LOWASSA afu na upuuzi wake anaimba nyimbo za kumkashifu RAIS afu aachwe.....
Atakuwa na undugu na yesusamahani mheshimiwa hivi unamjua bashite? hili ni jipu jipya toka kolomijee.. [emoji18]
Vitu vingne ni vya kujitakia....Acha aisomee NUMBER.....inajulikana kabsa huyu kipindi kile cha kampeni alikuwa TEAM LOWASSA afu na upuuzi wake anaimba nyimbo za kumkashifu RAIS afu aachwe.....
Kwani nay kataja jina la naniVitu vingne ni vya kujitakia....Acha aisomee NUMBER.....inajulikana kabsa huyu kipindi kile cha kampeni alikuwa TEAM LOWASSA afu na upuuzi wake anaimba nyimbo za kumkashifu RAIS afu aachwe.....yeye anadhani RAIS ni kama hao wasanii wenzake aliozoea kuwatukana.....
Ifikie mahali HESHIMA IWEPO KWA RAIS.....
Ngoja niurudie....
SASA HUYU SI JK ni MAGUFULI na ndio maana yupo tofauti kabsa.....Huyu Rais ana pepo kwakweli,kina Roma wangekuwa jela kama JK angekuwa JPM!
Unafikiri utaandika kipi cha maana na hilo LI AVATAR LAKO......H
Wahi mirembe ndugu naona kichaa kimepanda upstairs! [HASHTAG]#umelogwaWewe[/HASHTAG]
Anapelekwa Mvomero? Atakuwa amechochea migogoro ya wakulima na wafugaji nini?
Mtu akiwa hana hoja, anaendeshwa na mihemko, haelewi anachokizungumza matokeo yake ndo hayo kutukana ndo suluhisho kwake,sijaona sababu ya yeye kutoa maneno km hayo. Mpuuze ni mjinga sio mpumbavu ni mjinga nadhan umenielewa mkuu.Duuh! Ni kuuliza swali tu ndiko kunakosababisha unitukane? Au nimekukosea nini? Si busara ndugu yangu...shukrani pia kwa matusi yako! Niliuliza kwa nia ya kutaka kujua...