We ndo jiongeze kama kosa ni wimbo angerudishwa dar alipo utungia na kurecordJiongeze. We si mtu mzima au bado upo shule?
Amelogwa huyooohataki kushauriwa hataki kukosolewa anajiona ndugu yake na yesu!
Kuna Bashie wangapi pia kule Kolomije .....Serikali itashindwa kesi Ney akiwa na wakili mzuriHivi Kuna mtu anaitwa Bashite?
Ndio nasema ana pepo au mental disorder,haiwezekani Rais awe provoked na comments mitandaoni!!Anatokwa povu kwa vitu vidogo vidogoSASA HUYU SI JK ni MAGUFULI na ndio maana yupo tofauti kabsa.....
Kati yako na ney wa mitego, ni nani katukana?Huwa sibishani na wapu.Uzi aisee hapa utakiingia cha kike, uliza hao waathirika wa ngada wenzio watakujibu.
Acha heshhima IWEPO.....mmezoea upuuzi mnoNdio nasema ana pepo au mental disorder,haiwezekani Rais awe provoked na comments mitandaoni!!Anatokwa povu kwa vitu vidogo vidogo
Wapi ametaja raisInategemea unajieleza VIPI.....wanagapi wanakosoa kwa HESHIMA....hUYU ney ANAJULIKANA KWA UPUUZI wake vizuri sana.....Acha akawaburdishe WAFUNGWA HUKO......haiwezekani mtu unaimba UPUUZI tena unamkashifu RAIS uchekewe.....
wewe yani bado upo ktk ulimwengu wa kutishana km SIZONJE., be reasonable and rational. Kiburi si maungwana.Huwa sibishani na wapu.Uzi aisee hapa utakiingia cha kike, uliza hao waathirika wa ngada wenzio watakujibu.
.Vitu vingne ni vya kujitakia....Acha aisomee NUMBER.....inajulikana kabsa huyu kipindi kile cha kampeni alikuwa TEAM LOWASSA afu na upuuzi wake anaimba nyimbo za kumkashifu RAIS afu aachwe.....yeye anadhani RAIS ni kama hao wasanii wenzake aliozoea kuwatukana.....
Ifikie mahali HESHIMA IWEPO KWA RAIS.....tena mimi ndiye ningekuwa ni RAIS i swear ningempeleka kwa MILITARY POLISI nimfundishe adabu maana alikuwa najaua kabsa OUT ya anacho kifanya kupitia huo wimbo.......Watu hawataki kabsa kujifunza kutokana na MAKOSA....how many times anaitwa BASATA kuonywa tokana na nyimbo zake...
Si anajua kuimba sana AACHE AKAWAIMBIE WAFUNGWA HUKO......
Hivi wimbo wa chura ulipata followers wangapi? Na sasa wamebaki wangapi? Kila jambo huja na kipitaHii serkali bado haijatambua kosa kubwa inalolifanya la kuwafanya watu kuonekana mashujaa (heros ) au kuwataftia kiki.
Kwa mfano, hivi sasa ni ukweli usiopingika kuwa ushindi wa kishindo wa Lissu ilibustiwa na ile hali ya kuwekewa vikwazo na serkal.
Nape leo anaonekana shujaa tu baada ya kuoneshewa bustola na askari aliyetumwa kumzuia asiongee na waandishi wa habari.
Leo lema naye hivyo hivyo. Anaonekana kama mandela wa Tanzania, baada yakufanyiwa figisufigisu za kumuweka gerezani takriban miez mitano.
Jana Mange kimambe kaweza fikisha one million followers sababu ya kupata umaarufu baada yà kushikilia kidedea vyeti vya Makonda. Yani hivi sasa followers wa mange wanaongezeka kwa 2k followers kwa siku huku followers wa makonda wakipungua kwa kasi.
Leo sasa Ney wa mitego inasemekana Tyar yupo mikononi mwa Polisi. Na sababu hasa itakuwa ni wimbo alioutoa juzi. ( jina sijafahamu unaitwaje ila kuna sehemu wanaitikia " wapo")
Siku ya leo habari za Ney kukamatwa zinaenea mitandaoni na vyombo vya habari vyote. Kesho ni front page magazetini. Na kila atakayepata hii habari lazima autafte huu wimbo ausikilize ili ajue Mantic ya uo wimbo kupelekea kukamatwa kwa Ney.
Kuja kufika kesho. Huu wimbo utakuwa ukipigwa kila mtaa. Hata wa kule kijijini kolomije mpka sasa watakuwa wamesha upata.
Serikali ingekaa kimya na kuupuuza huu wimbo basi hata wanaousikiliza wangeupuuza. Sasa kitakachotokea hivi sasa ni kila mtu atausikiliza ili ahoji ni kwa nini Ney akamatwe?
Nakumbuka kuna kipindi Nikk mbishi alitoa wimbo akimsifu kikwete. Cjui basata au TCRA wakamuita na kuufungia. Mi binafsi nilikuwa sijausikiliza maana si fani wake. Ila niliutafta nikausikiliza ili nijue kilichoimbwa mpaka ukafungiwa.
Katika hii dunia ya Utandawazi na Technology. Serikali inajisumbua kucontrol kila kitu wanachotaka wananchi wao wasikie au waambiwe. Yani hapa serkal IMECHEMSHA.
Walifanikiwa nini Pale walivyopiga marufuku wimbo wa Viva Roma 2015?
Serikali iconcentrate na Mambo ya kimaendeleo sio personality. VIWANDA HAVIJENGWI KWA KUMKAMATA NEY BHNA.