mafinyofinyo
JF-Expert Member
- Nov 29, 2012
- 4,404
- 3,275
Yeye mbona anatfuta kiki kwa kugombania front pages ya magazeti"Eti nawapenda sana" huwezi tafta kiki kwa magu ,yeye anatafta respect alaf wewe unatafta kiki.
republicMi najiuliza. Hivi akifikishwa mahkamani. Mlalamikaji ni nani?
Ungekuwa na msaada kama ungejiuliza kwanini ameimba hivyo alivyoimba, ungesaidia kuzuia wengine wasiimbe tena kuliko hivi vya kuufunika moto kwa blanket na mabua ya mpunga. Tumeamua wenyewe demokrasia itutawale sasa ngoja itawale, tuzuie matusi sio kusemana.Vitu vingne ni vya kujitakia....Acha aisomee NUMBER.....inajulikana kabsa huyu kipindi kile cha kampeni alikuwa TEAM LOWASSA afu na upuuzi wake anaimba nyimbo za kumkashifu RAIS afu aachwe.....yeye anadhani RAIS ni kama hao wasanii wenzake aliozoea kuwatukana.....
Ifikie mahali HESHIMA IWEPO KWA RAIS.....tena mimi ndiye ningekuwa ni RAIS i swear ningempeleka kwa MILITARY POLISI nimfundishe adabu maana alikuwa najaua kabsa OUT ya anacho kifanya kupitia huo wimbo.......Watu hawataki kabsa kujifunza kutokana na MAKOSA....how many times anaitwa BASATA kuonywa tokana na nyimbo zake...
Si anajua kuimba sana AACHE AKAWAIMBIE WAFUNGWA HUKO......
Yale yaleee..Yale ya Lema lazma yamkute huyu
Sie Tuendeleeni kumjambisha Baba Bashite mpaka akili zimkae sawa!
Wakat alipokuwa Waziri alikuwa haoni tulivyokuwa tunamchana Mkwere mwanzo mwisho? Kwan Yeye Urais wake una tofauti gan na wa Baba Ridh?
Safi sana, ashughulikiwe ipasavyo, kucriticise ni haki ila kutukana ni jinai.
Nitumie namba nakutumia.Mwenye huo wimbo wa Ney anirushie tafadhali
Nenda youtube upo teleMwenye huo wimbo wa Ney anirushie tafadhali
Samahani mkuu ni lini uliamua kuacha kumuunga mkono Chizi Sizonje.
Ni siku kadhaa nasoma post zako naona umeanza kumdis huyu mtawala mwenye matatizo ya akili.
Umeusiliza huo wimbo lakini au unakimbilia kuandika tu hajataja jina la mtu amemtaja mheshimiwa unajua hii nchi ina waheshimiwa wangapi unajua maana ya Mheshimiwa........... Au aliposema dokta mtumbua majipu ndio umemuhusisha na naniiihiii kwani madokta wa majipu wapo wengi hata kijijini kwenu yupo .Pia aliyetajwa humo ni Bashite wa kolomije na nikweli ambaye kweli ana jipu ni jirani yangu mbona huku usukumani ukiita watu wenye majina ya Bashite unajaza fuso na majipu ni kawaida kwa mwanadamu yawezekana hata wewe ushawahi kuugua jipu sasa jinai inatoka wapi hakuna kesi hapo sana sana wanampa umaarufu na kumdhalilisha wanaemtetea mwisho wa siku anashinda kesi labda BASATA ndio wamfungie kufanya mziki maisha au miaka kadhaa kutegemeana na sheria zao ila jinai hakuna hapo!!! Elimu Elimu Elimu............Safi sana, ashughulikiwe ipasavyo, kucriticise ni haki ila kutukana ni jinai.