Morogoro: Msanii Emmanuel Elibariki 'Nay wa Mitego', akamatwa na Polisi

Msanii Ney wa mitego amekamatwa asubuhi hii akiwa mkoani morogoro.. Anashukiliwa katika kituo cha polis mvomero.. Sababu za kukamatwa kwake bado hazijajulikana..
 
Basata walikuonya na pia wakakushauri utakapotaka kuachia wimbo mpya wapelekee wausikilize kabla haujaenda hewani, sasa sijajuwa huu aliupeleka?
 
Nimekuelewa mkuu.
Mimi sina chama ila tangu nikose Ongezeko la mshahara kulingana na mkataba wa kazi na kupanda daraja kwani nilitakiwa kupanda mwezi wa saba mwaka 2016.

Namuona Rais kama kichaa aliekabidhiwa rungu.
 
Ameshauriwa atumbue jipu...yeye anamkamata alompa ushauri. Kwan km ataki kushauri si anapiga kimya tu???
 
Nilijua hili litatokea na Ney pia alijua
 
Nimekuelewa mkuu.
Mimi sina chama ila tangu nikose Ongezeko la mshahara kulingana na mkataba wa kazi na kupanda daraja kwani nilitakiwa kupanda mwezi wa saba mwaka 2016.

Namuona Rais kama kichaa alikabidhiwa rungu.

Sasa hivi Hakuna Promotion bila ya kuhudhuria Mafunzo kwny Chuo cha Utumishi wa Umma Kivukoni kwa Mujibu wa Waziri Angela Kairuki,

hii ni baada ya igizo la uhakiki wa Vyeti na Watumishi hewa kufikia Mwisho!

Ukisema Rais wetu Kama Kichaa unakosea!

Ondoa neno 'Kama' ili uwe Msema kweli
 
Sasa mimi nipo UDSM kwa ajili ya kuongeza elimu,je nitaacha hapa ili niende huko wanakohitaji.

Mbona itakuwa usumbufu sana inaweza kuniharibia baadhi ya malengo.
Sasa hivi Hakuna Promotion bila ya kuhudhuria Mafunzo kwny Chuo cha Utumishi wa Umma Kivukoni kwa Mujibu wa Waziri Angela Kairuki,

hii ni baada ya igizo la uhakiki wa Vyeti na Watumishi hewa kufikia Mwisho!
 
Hana adabu kabisa ule wimbo unaweza kuimba nchi ipi duniani? ashughulikiwe kwa mujibu wa sheria.
 
Hakuna kesi ya kumfunga mtu hapo. Kukosa elimu kunawafanya raia wengi wahisi kuwa jamaa atashindwa hii kesi na kuozea jela. Atafutiwe wakili makini na nakwambia jamuhuri na yule chizi wa pale magogoni lazima waumbuke.
 
Kuna sehemu kaimba "kichaa kapewa rungu"...
 
Mnatukana uongozi afu mtataka tuwachangie mdhamana.

Hakumtukana bwana, ckusikia sehemu ya kumtukana bali aliwachana maovu yao. Maovu yao ya ukweli tena. Kama ivo ndo kutukana bac sawa. Tanzania we need whistleblowers, bila watu kama hawa kina Nay,Mange na wengine wafichua maovu tutabak kutawaliwa kinafiki kila cku. Nidhamu ya uoga haitoisha.
 
Sasa mimi nipo UDSM kwa ajili ya kuongeza elimu,je nitaacha hapa ili niende huko wanakohitaji.

Mbona itakuwa usumbufu sana inaweza kuniharibia baadhi ya malengo.

[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]

Hata upate Phd huwezi kupata Promotion bila ya kwenda kwny Mafunzo na kufuzu ( Mafunzo yote yanafanana uwe Daktari, fundi Umeme, Mwalimu, Mfagiaji wa Ofisi, Mhasibu n.k) ya Chuo cha Utumishi Tena hujipeleki Wewe Mwenyewe ,

itategemea Mahitaji ya Serikali, uwezo wa Chuo, Ruhusa ya Mwajiri na Bajeti ya Mwaka husika!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…