Morogoro: Mtendaji wa Kijiji akiwasha, ataka kuzuia mkutano wa ACT Wazalendo kwa madai hakuwa na barua kutoka OCD

Morogoro: Mtendaji wa Kijiji akiwasha, ataka kuzuia mkutano wa ACT Wazalendo kwa madai hakuwa na barua kutoka OCD

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Tukio hili limetokea wakati Mtendaji wa Kijiji cha Tuninguo, kata ya Mvuha, alipozuia Makamu Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Bara, Isihaka Mchinjita, asiwakaribishe wananchi katika ziara yake. Mtendaji alijitetea kwa kusema kwamba hakuwa na barua kutoka kwa Mkuu wa Polisi Wilaya (OCD), akizuia pia waandishi wa habari kufanya kazi zao.

Katika mkutano wake na wananchi, Mchinjita alisisitiza kwamba haki za vyama vya siasa ni pamoja na kufanya mikutano na kuwasiliana na wananchi bila kuhitaji kibali cha polisi, ingawa wanapaswa kutoa taarifa ili wapate ulinzi. Kitendo cha Mtendaji kilizua maswali kuhusu uhuru wa kisiasa na haki za waandishi wa habari.

 
Back
Top Bottom