LGE2024 Morogoro: Mwenyekiti wa mtaa aliyedumu madarakani kwa miaka 30 achaguliwa tena

LGE2024 Morogoro: Mwenyekiti wa mtaa aliyedumu madarakani kwa miaka 30 achaguliwa tena

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Screenshot 2024-11-28 182638.png

Mwenyekiti wa Mtaa wa Makaburi A, Kata ya Mji Mpya, Manispaa ya Morogoro kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Hamis Lukinga maarufu kama 'Mzee Kiuno' (70) aliyehudumu kwenye uongozi huo kwa miaka 30 sawa na vipindi sita amechaguliwa tena kuongoza kwa kipindi cha miaka mitano.

Akizungumza na Mwananchi Digital Lukinga amesema kwa mara ya kwanza aliingia madarakani mwaka 1994 ukiwa ni uchaguzi wa kwanza uliohusisha mfumo wa vyama vingi na tangu hapo aliendelea kuchaguliwa ndani ya chama hadi kwa wananchi wa mtaa huo.

Soma Pia: Morogoro: Matukio yanayojiri kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Novemba 27, 2024

Lukinga ametaja moja ya siri za ushindi wake ni uchapakazi unaowafanya wananchi wamkubali lakini pia uwazi kuwa kusaidia na kushirikiana na wananchi wake katika mambo mbalimbali ya kimaendeleo.
 

Mwenyekiti wa Mtaa wa Makaburi A, Kata ya Mji Mpya, Manispaa ya Morogoro kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Hamis Lukinga maarufu kama 'Mzee Kiuno' (70) aliyehudumu kwenye uongozi huo kwa miaka 30 sawa na vipindi sita amechaguliwa tena kuongoza kwa kipindi cha miaka mitano.

Akizungumza na Mwananchi Digital Lukinga amesema kwa mara ya kwanza aliingia madarakani mwaka 1994 ukiwa ni uchaguzi wa kwanza uliohusisha mfumo wa vyama vingi na tangu hapo aliendelea kuchaguliwa ndani ya chama hadi kwa wananchi wa mtaa huo.

Soma Pia: Morogoro: Matukio yanayojiri kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Novemba 27, 2024

Lukinga ametaja moja ya siri za ushindi wake ni uchapakazi unaowafanya wananchi wamkubali lakini pia uwazi kuwa kusaidia na kushirikiana na wananchi wake katika mambo mbalimbali ya kimaendeleo.
Hahaha CCM waitishe kikao cha dharura huyu apewe uwenyekiti wa ccm taifa.
 

Mwenyekiti wa Mtaa wa Makaburi A, Kata ya Mji Mpya, Manispaa ya Morogoro kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Hamis Lukinga maarufu kama 'Mzee Kiuno' (70) aliyehudumu kwenye uongozi huo kwa miaka 30 sawa na vipindi sita amechaguliwa tena kuongoza kwa kipindi cha miaka mitano.

Akizungumza na Mwananchi Digital Lukinga amesema kwa mara ya kwanza aliingia madarakani mwaka 1994 ukiwa ni uchaguzi wa kwanza uliohusisha mfumo wa vyama vingi na tangu hapo aliendelea kuchaguliwa ndani ya chama hadi kwa wananchi wa mtaa huo.

Soma Pia: Morogoro: Matukio yanayojiri kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Novemba 27, 2024

Lukinga ametaja moja ya siri za ushindi wake ni uchapakazi unaowafanya wananchi wamkubali lakini pia uwazi kuwa kusaidia na kushirikiana na wananchi wake katika mambo mbalimbali ya kimaendeleo.
Hongera kwake
 

Mwenyekiti wa Mtaa wa Makaburi A, Kata ya Mji Mpya, Manispaa ya Morogoro kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Hamis Lukinga maarufu kama 'Mzee Kiuno' (70) aliyehudumu kwenye uongozi huo kwa miaka 30 sawa na vipindi sita amechaguliwa tena kuongoza kwa kipindi cha miaka mitano.

Akizungumza na Mwananchi Digital Lukinga amesema kwa mara ya kwanza aliingia madarakani mwaka 1994 ukiwa ni uchaguzi wa kwanza uliohusisha mfumo wa vyama vingi na tangu hapo aliendelea kuchaguliwa ndani ya chama hadi kwa wananchi wa mtaa huo.

Soma Pia: Morogoro: Matukio yanayojiri kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Novemba 27, 2024

Lukinga ametaja moja ya siri za ushindi wake ni uchapakazi unaowafanya wananchi wamkubali lakini pia uwazi kuwa kusaidia na kushirikiana na wananchi wake katika mambo mbalimbali ya kimaendeleo.
Wenye kata yao wamependa kiuno
 

Mwenyekiti wa Mtaa wa Makaburi A, Kata ya Mji Mpya, Manispaa ya Morogoro kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Hamis Lukinga maarufu kama 'Mzee Kiuno' (70) aliyehudumu kwenye uongozi huo kwa miaka 30 sawa na vipindi sita amechaguliwa tena kuongoza kwa kipindi cha miaka mitano.

Akizungumza na Mwananchi Digital Lukinga amesema kwa mara ya kwanza aliingia madarakani mwaka 1994 ukiwa ni uchaguzi wa kwanza uliohusisha mfumo wa vyama vingi na tangu hapo aliendelea kuchaguliwa ndani ya chama hadi kwa wananchi wa mtaa huo.

Soma Pia: Morogoro: Matukio yanayojiri kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Novemba 27, 2024

Lukinga ametaja moja ya siri za ushindi wake ni uchapakazi unaowafanya wananchi wamkubali lakini pia uwazi kuwa kusaidia na kushirikiana na wananchi wake katika mambo mbalimbali ya kimaendeleo.
Kumbe Mbowe ana washirika wengi kwenye u ayattolah. Toka 1994 hadi leo.
Hawa wawili wametisha.
 
Mwenyekiti wa Mtaa wa Makaburi A, Kata ya Mji Mpya, Manispaa ya Morogoro kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Hamis Lukinga maarufu kama 'Mzee Kiuno' (70) aliyehudumu kwenye uongozi huo kwa miaka 30 sawa na vipindi sita amechaguliwa tena kuongoza kwa kipindi cha miaka mitano.

Akizungumza na Mwananchi Digital Lukinga amesema kwa mara ya kwanza aliingia madarakani mwaka 1994 ukiwa ni uchaguzi wa kwanza uliohusisha mfumo wa vyama vingi na tangu hapo aliendelea kuchaguliwa ndani ya chama hadi kwa wananchi wa mtaa huo.

Lukinga ametaja moja ya siri za ushindi wake ni uchapakazi unaowafanya wananchi wamkubali lakini pia uwazi kuwa kusaidia na kushirikiana na wananchi wake katika mambo mbalimbali ya kimaendeleo.

"Hapa mtaani nimeweza kuwasaidia wananchi wenye shida mbalimbali na msaada huu siyo wa kifedha bali ushauri na kuwapa miongozo hasa pale wanapopata changamoto," amesema Kukinga.
IMG_1079.jpeg
 
Wazee kama hawa ukiingia kichwa kichwa kuwatoa yanaweza yakakukuta mambo......
 
Kakaa Kikuda kuda tu

ova
Kuna dingi aliingia Wizara ya Fedha akiwa na miaka 22 hakuwahi kuhamishiwa nje ya Dar hadi anastaafu. Elimu yake Std 7 ila alikuwa akiheshimika hatari hata na wakubwa. Hakuna mkurugenzi wa idara yake alikuwa anamwambia kitu. Mimi nilimkuta akiwa karibia kustaafu. Siku moja tukashangaa kapewa kadi ya mwaliko kutoka ofisi ya waziri mkuu kuhudhuria sherehe za uhuru wakati mkuu wa idara hakualikwa.
 
Kuna dingi aliingia Wizara ya Fedha akiwa na miaka 22 hakuwahi kuhamishiwa nje ya Dar hadi anastaafu. Elimu yake Std 7 ila alikuwa akiheshimika hatari hata na wakubwa. Hakuna mkurugenzi wa idara yake alikuwa anamwambia kitu. Mimi nilimkuta akiwa karibia kustaafu. Siku moja tukashangaa kapewa kadi ya mwaliko kutoka ofisi ya waziri mkuu kuhudhuria sherehe za uhuru wakati mkuu wa idara hakualikwa.
Teh teh 😃 😃 😃 dah!...
 
Halafu nimegundua anachaguliwa zaidi na wanawake we unadhani kuitwa MZEE KIUNO hilo jina lipo hivi hivi atakuwa na UMASTER KOBE huyu
 
Back
Top Bottom