Pre GE2025 Morogoro: Polisi yaonya wanaotaka kuvuruga amani kipindi cha Uchaguzi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Uchaguzi hautakuwepo, kwahiyo hakuna atakayeuharibu, huwezi kuharibu kitu ambacho hakipo
Ukiwa nyumbu unafuata tuu mkumbo. Sasa wewe eti chawa unaongea upuuzi hivi. Kweli machawa hamnazo.
Wewe ndo wa kuzuia uchaguzi? Labda uchaguzi wa machawa.
 
Vurug... ni kubwa Kuna Kila dalili mkakimbia kupisha vurugu! Kila kata,wilaya,mkoa Kuna maandaman...
 
Huyo kamishina hajui kuwa mwaka huu hamna uchaguzi?🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…