Morogoro: Rais wa Mabunge Duniani (IPU), Tulia Ackson na msaada wa malumalu kwa ajili ya ujenzi wa Kituo cha Polisi

Morogoro: Rais wa Mabunge Duniani (IPU), Tulia Ackson na msaada wa malumalu kwa ajili ya ujenzi wa Kituo cha Polisi

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Mkurugenzi wa Taasisi ya Tulia Trust ambaye pia ni Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Mhe. Dkt. Tulia Ackson, tarehe 26 Julai, 2024 alitoa malumalu kwa ajili ya ujenzi wa Kituo cha Polisi Kata ya Ching'anda Halmashauri ya Mlimba Wilaya ya Kilombero Mkoani Morogoro.

Hiki ni kielelezo na mfano mzuri kwa Watanzania na Wanasiasa wote kutoa misaada bila kudai malipo
55.jpg
99.jpg
88.jpg
 
Mkurugenzi wa Taasisi ya Tulia Trust ambaye pia ni Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Mhe. Dkt. Tulia Ackson...
Ujinga mtupu. Sasa kutoa marumaru ndiyo mpaka apigqe mapicha picha!!
 
Kazi ya kujenga vituo vya polisi ni ya serikali ambaye yeye anapaswa kuisimamia na kuishinikiza kutimiza wajibu wake, sio kuisadia kufanya yeye kwa mshahara wake na kisha KUTAKA front page ili kujiimarisha kisiasa.

Kuna Masauni, kuna yule wa TAMISEMI, wa miundo mbinu pia, kuna wa pale Magogoni, wote hawana visogo....wamegoma kuijenga Tanganyika, mmeamua kuchangishana sasa?

Hasara ni pale kwamza muafrika, pili ni -ke na tatu ni urojo....achilia mbali imani isiyotaka kabisa haya mambo meusi.
 
Back
Top Bottom