Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Jeshi la polisi kitengo cha usalama barabarani limefunga kwa muda barabara ya Morogoro eneo la Faya hadi Magomeni jijini Dar es Salaam kutokana na maji kupita juu ya daraja la Jangwani.
Mvua kubwa zimenyesha Kisarawe na kusababisha mafuriko kwenye bonde la mto Msimbazi.
Mvua kubwa zimenyesha Kisarawe na kusababisha mafuriko kwenye bonde la mto Msimbazi.