Morogoro Road yafungwa Jangwani

Poleni wakazi wa Dar,ila wabishi,kukiwa kukavu vijembe mnavyochimba utadhani mko Newyork,mnasahau kabisa kuwa wakati na mvua za fujo kama hizo mnakuwa wapoleee...
 
Yaani maccm hayana huruma kabisa na wanachi, baada ya kuona wamelivuruga dar kwa miundombinu ya ovyo wakaona bora wakimbilie Dodoma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…