MOROGORO: Shaka Hamdu Shaka mgeni rasmi uzinduzi wa msimu mpya wa kilimo 2022|23

MOROGORO: Shaka Hamdu Shaka mgeni rasmi uzinduzi wa msimu mpya wa kilimo 2022|23

CM 1774858

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2021
Posts
5,621
Reaction score
5,029
IMG-20221003-WA0186.jpg

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg Shaka Hamdu Shaka kufanya uzinduzi wa msimu wa kilimo 2022-2023 na kushuhudia ugawaji wa ardhi katika mashamba yaliyorejeshwa wilaya ya Kilosa Mkoani Morogoro.

Mtakumbuza katika msimu huu wa kilimo Rais Samia ameongeza bajeti ya kilimo kwa zaidi ya bilioni 700 nakufikia TZS 957 kutoka TZS 250bilioni,

Rais Samia pia katika kutatua migogoro kati ya Wakulima na Wafugaji amepunguza ardhi ya hifadhi na kuwamilikisha wafugaji na Wakulima katika mikoa mbalimbali ikiwemo Morogoro,

#Hongera Hussein Bashe, Hongera Rais Samia
 
Shaka, unawakumbuka waliokuchongea ukasimamishwa kazi na JPM?? Wako hapo Morogoro bado, hebu chekecha basi kamanda, watwange kwa jembe au nyundo
 
Haya ndio mambo yanayofanya CCM na serikali yake Kuendelea kuwa na kuishi katika mioyo ya watanzania walio wengi, CCM muda wote inagusa maisha ya watanzania, CCM muda wote inainua matumaini kwa watanzania, unazani Ni furaha kiasi gani atakayoipata mwananchi atakayepata kipande Cha ardhi?

Unazani Ni furaha iliyoje atakayo ipata mtu ambaye hakuwa na mahali pa kulima lakini Leo anakwenda kupata mahali pa kulima baada ya juhudi za mh Rais wetu mpendwa mama Samia kuamua kurudisha ardhi mikononi mwa mwananchi mnyonge?

Unazani mtu huyu aliyepewa ardhi na hivyo kupewa matumaini ya maisha anaweza kuisahau serikali hii ya mama Samia? Unazani atashindwa kuipigia kampeni CCM? Unazani atashindwa kwenda kuhamasisha watu waipigie kura CCM?

Unazani atakusikiliiza ukianza kumwambia habari za upinzani uliokosa dira na muelekeo? Kiukweli mwenye Akili Timamu Ni ngumu Sana kuacha kuunga mkono juhudi za CCM na serikali yake katika kuwatumikia watanzania wanyonge wasio na sauti

Hongera mama Samia, Hongera Waziri wa ardhi ,Hongera ndugu Shaka na viongozi wote wa CCM, hongera CCM na serikali yake na Hongera wananchi wanaoendelea kuiunga mkono CCM na serikali yake

Kazi iendeleee Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti
 
Umewahi kulima? Unajuwa hizo heka tatu Ni sawa na gunia ngapi za mahindi au mpunga atakazopata au au anazoweza kuzipata mkulima akihudumia vizuri na kupanda mbegu iliyo Bora na inayoendana na ardhi ya eneo husika? Unajuwa ni kiasi gani hizi heka tatu zitamuinua kiuchumi mkulima?

Unajuwa ni kiasi gani heka hizo zinaweza kubadilisha maisha ya mkulima na kuleta Tabasamu usoni pa mkulima? Hujuwi heka hizo zinaweza kumaliza njaa na kumuondoa mkulima wa kaya na familia fulani katika umaskini? Hujuwi kuwa ardhi Ni Mali? Hujuwi kuwa Ardhi ni mdhamana?

Usiipe akili yako kazi ya kupinga na kukosoa kila kitu hata chenye manufaa kwa watu, pia usipende kuona na kufurahia watu wakihangaiika na kuteseka muda wote ili mpate ya kuongea ongea na kuichonganisha serikali na wananchi wake, inapofanya vizuri serikali jaribu kuipongeza japo huradhimishwi maana wananchi Kama Hawa watakao nufaika na juhudi hizi za serikali watasimama kuitetea na kuipongeza serikali yao hata Kama wewe mmoja utashika kazi ya kupinga kila kitu, hakuna atakaye kusikiliza Wala kukuunga mkono maana kazi za serikali hii zinaonekana machoni pa watanzania
Kilimo cha jembe la mkono hakitamsaidia mtu….unampa mtu heka mbili tatu zitasaidia nini ?
 
Umewahi kulima? Unajuwa hizo heka tatu Ni sawa na gunia ngapi za mahindi au mpunga atakazopata au au anazoweza kuzipata mkulima akihudumia vizuri na kupanda mbegu iliyo Bora na inayoendana na ardhi ya eneo husika? Unajuwa ni kiasi gani hizi heka tatu zitamuinua kiuchumi mkulima?

Unajuwa ni kiasi gani heka hizo zinaweza kubadilisha maisha ya mkulima na kuleta Tabasamu usoni pa mkulima? Hujuwi heka hizo zinaweza kumaliza njaa na kumuondoa mkulima wa kaya na familia fulani katika umaskini? Hujuwi kuwa ardhi Ni Mali? Hujuwi kuwa Ardhi ni mdhamana?

Usiipe akili yako kazi ya kupinga na kukosoa kila kitu hata chenye manufaa kwa watu, pia usipende kuona na kufurahia watu wakihangaiika na kuteseka muda wote ili mpate ya kuongea ongea na kuichonganisha serikali na wananchi wake, inapofanya vizuri serikali jaribu kuipongeza japo huradhimishwi maana wananchi Kama Hawa watakao nufaika na juhudi hizi za serikali watasimama kuitetea na kuipongeza serikali yao hata Kama wewe mmoja utashika kazi ya kupinga kila kitu, hakuna atakaye kusikiliza Wala kukuunga mkono maana kazi za serikali hii zinaonekana machoni pa watanzania
Wewe ni jembe sana mkuu wa kazi,
 
Hapo hapo Morogoro ndipo Shaka alikula rushwa akiwa kiongozi wa ccm na kutumbuliwa.
 
Back
Top Bottom