Michuano ya Pamoja na Mama Cup inayoendelea Mkoani Morogoro izazidi kupamba moto na imefika hatua ya 16 Bora, kilichowavutia wengi ni timu ya Wamasai pekee kuzidi kufanya maajabu katika Michuano hiyo.
Timu zilizotinga 16 bora pamoja na Mama Cup Moro Kilosa.
Hayo ni maajabu ya soka, Maasai kusakata kabumbu kama Real Madrid, usikute kuna vipaji vya kucheza hata EPL hasa wafungaji wa magoli ya vichwa, maskauti waende Moro kusaka vipaji!!
Hii inanikumbusha India na China kuna watu bilioni na ushee ila kila mashindano makubwa hawamo!!