Bohari Kuu ya Madawa MSD inakumbana na changamoto nyingi kufikisha dawa
Hayo yamebainika mkoani Morogoro Tanzania inabidi MSD watumie gharama za ziada kufikisha dawa katika zahanati na vituo vya afya mkoani Morogoro....
Source : Millard ayo
Katika Zahanati Baga kilichoo Morogoro Vijijini mkoani Morogoro, ili MSD wafikishe dawa hulazimika kutumia bodaboda kubeba dawa. Pia kuna mito mingi hivyo hulazimika kubeba dawa kichwani ili kuvusha dawa
Hayo yamebainika mkoani Morogoro Tanzania inabidi MSD watumie gharama za ziada kufikisha dawa katika zahanati na vituo vya afya mkoani Morogoro....
Source : Millard ayo
Katika Zahanati Baga kilichoo Morogoro Vijijini mkoani Morogoro, ili MSD wafikishe dawa hulazimika kutumia bodaboda kubeba dawa. Pia kuna mito mingi hivyo hulazimika kubeba dawa kichwani ili kuvusha dawa