Morrison amparua Manara, Senzo ahusika kutoa msaada

Alexander Lukashenko

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2017
Posts
4,140
Reaction score
9,667
Katika ukurasa wake wa instagram Ndugu Haji Manara aliandika maneno yenye kila dalili ya kejeli kwa Bilionea Mohamed Dewji " Mo".

Kuoneshwa kutofurahishwa na jambo hilo, winga machachari na hatari Bernad Morrison ameandika maneno yakumuasa manara, kuwa usikejeli watu waliokustili mwanzo kwani hata yeye pamoja kuwa na matatizo na Yanga lakini hajawahi watusi wala kuwakejeli viongozi wa yanga.

Kuoneshwa kuguswa na Maneno ya Morison Bw.Haji amemuomba ndugu Senzo kumsaidia kujibu shutuma hizo kwa kimombo, kwani lugha iliyotumika ilikuwa ni ya kigeni.

 
PROPAGANDA KWA HAJI NDIOKAWAIDA YAKE SISHANGAI
 
Manara ndiye ana praise mtu ambaye haderseve huo utajiri wa mpira anaousema ( Manara is the one praising someone who doesn't deserve to be richer than Mo,. Manara ni kama chawa tu ). Morrison yuko sahihi .
 
Morrison mwenyewe ashauriwe aache hii tabia yake ya kuvua nguo hadharani.
 

Hii lugha ya Manara utadhani katranslate kutoka Google[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…