Mpaka siku atakapomchoma cha Matako Mohamedi ndio akili zitakuja.kesho kutwa atawatia dole la macho mashabiki wa simba ndiyo wataelewa vizuri maana ya utovu wa nidhamu.
Mleta mada weka hata hako kakideo tuthibitishe
Mkuu naamini una busara nyingi hasa kutokana na michango yako jukwaani hapa. Ila kila nikiona post yako kwenye huu uzi, narudi kuhakikisha kama ni mtu yule yule anayepost michango isiyo na shaka kwenye uzi wa Liver.Sisi washabiki ni wabinafsi, tunawatukana sana wachezaji, sana.
Ila wao wakitujibu tunapiga sana kelele.
Refa alikuwa man of the matchUmeona dogo wa Mbeya City jana alivyomtoa ulimi? Akaenda kuokolea ndani ya nyavu.
Shukuruni refa kawabeba.
Mpaka siku amchome kidole Matakoni Mwamedi ndio akili itawakaa sawa.
Kabisa mkuu,alidhani Yanga itaangaika,ule usemi wa kwamba mchezaji ni mtu mdogo ndan ya Club imejidhihirisha kwake.Alitegemea Yanga ingestruggle sana kutokana na pengo lake.Haamini anachikiona.
Mkuu naamini una busara nyingi hasa kutokana na michango yako jukwaani hapa. Ila kila nikiona post yako kwenye huu uzi, narudi kuhakikisha kama ni mtu yule yule anayepost michango isiyo na shaka kwenye uzi wa Liver.
Ule ni utovu wa nidhamu ukizingatia kafanya vile akiwa amevaa jezi ya SimbaWachezaji ni binadamu, wana mioyo kama tuliyo nayo sisi.
Sisi washabiki tusipompenda mchezaji tutamtukana majina yote, iwe kwenye mitandao au kwa kumzomea uwanjani.
Wakati Morrison yuko Yanga, sisi Simba tulimwita mwizi wa magari, ukumbuke pia alitufunga. Washabiki wa Yanga walimtetea kwa namna zote.
Morrison kaja Simba, sisi washabiki wa Simba tumechukua nafasi ya kumtetea huku Yanga wakimwita majina yote unayoyajua kumtukana.
Inafikia sehemu na yeye anachoka, anajaribu kujibu kwa vitendo kuonesha kwamba yeye pia anaumia tunavyomtukana, bahati mbaya sheria iko bias kwamba ni halali sisi washabiki kutukana ila ni haramu wao kutujibu.
Labda nikuulize swali, unadhani hakuna washabiki ambao wamesha mwoneshea dole la kati? Walifanywa nini?
Ule ni utovu wa nidhamu ukizingatia kafanya vile akiwa amevaa jezi ya Simba
Watopolo wamekalia la kati.Leo kawatia dole akina nani?
Hawa kima wa Utopolo ni shida sanaHivi mashabiki mbumbumbu na mashabiki nyani, ma mbwa ya kubwekabweka a.k.a uneducated people wasiojua football kulikon. Maneno ya yule kocha wenu mlimlalamikia kwa ubaguz.