Mario Kejob
JF-Expert Member
- Apr 14, 2020
- 441
- 536
Wakati umefika sasa club ya Simba ichukue hatua za tahadhari kuwalinda wachezaji wake maana faulo wanazofanyiwa ni za hatari na zinaweza kupelekea kwa wachezaji hawa kupata madhara makubwa.
Kwa Miqueson yeye hufanyiwa faulo hizo na kuinuka hapo hapo na hivyo kuwafanya marefa wetu wa Bongo kuamini kuwa hakutendewa kitu wakati kiukweli hiyo ni calibre yake na simuoni kama Miqueson ni mtu wa kupenda kujidondosha.
Kwa Morrison yeye yaelekea mabeki wengi hawampendi na yeye kujikuta akifanyiwa faulo hizo.
Napenda kusisitiza hapa, tatizo ni hawa inexperienced referees wa ki-Bongo wasiojua kuzisimamia kiukamilifu sheria 17 za mchezo huo.
Kwa Miqueson yeye hufanyiwa faulo hizo na kuinuka hapo hapo na hivyo kuwafanya marefa wetu wa Bongo kuamini kuwa hakutendewa kitu wakati kiukweli hiyo ni calibre yake na simuoni kama Miqueson ni mtu wa kupenda kujidondosha.
Kwa Morrison yeye yaelekea mabeki wengi hawampendi na yeye kujikuta akifanyiwa faulo hizo.
Napenda kusisitiza hapa, tatizo ni hawa inexperienced referees wa ki-Bongo wasiojua kuzisimamia kiukamilifu sheria 17 za mchezo huo.