Mose Iyobo: Sioni kosa kumuita Harmo Rapa Nyani, hata Diamond anaitwa Simba

Basi na ww ni mbwa inakufaa zaidi kama ww umeamua hivyo.mwenye uwezo na mamlaka ya kumuita jina mtu ni wazazi wake.na hata kama akijiita jina mwenyewe wazazi huwa wanaendeleaga kumuita jina halisi walilompatia hata Jamhuri haitambui majina ya mtu kujiita mwenyewe bali alilopewa na wazazi jamani.
 
Ndiyo tatizo la wasikwenda shule!
Anaweza kufunguliwa kesi na akawekwa ndani!!!!
Kama vipi Hamorapa Fanya kufungua file akaseme mahakamani hayo halafu tuone
 
Mbona kweli NGABU anaitwa Nyani huwa hagombi.
 
Aache ujinga,Diamond anaitwa Simba kwa sababu alianza yeye kujiita hivyo na hakubatizwa na mtu,kila mtu hujiita jina apendalo,Hamo rapper hajajiita Nyani..angekuwa kajiita hivyo basi na sisi tungefuata hivyo na si kubatizwa na yeye(Iyobo).
Huyo Iyobo ni mtanzania? Kama sio ajipime na kujitathimini kwa kauli yake ya kumdharau mzawa.
 
Diamond kujiita simba, blue kujiita simba,Dudu baya na shet kujiita mamba ni kutokana na sifa walizonazo hao simba na mamba kulingana na matendo ya hao wasanii wakajifananisha hivyo, ni lugha ya picha tu wametumia wasanii hao lakini kwa Mose iyobo yeye nahisi amemuita harmo rapa nyani kwa sababu ya muonekano hivyo anaangukia kwenye kejeli.

Hana point ya kujitetea nahisi alikurupuka hakujipanga atakwepa vipi hiyo issue.
 
HANA ADABU HUYO KIJANA. ..HAKIKA DUNIA ITAMFUNDISHA. ...
 
Harmo Rappa, mi nakushauri huyu jamaa umburuze mahakamani ili akakuthibitishie huo u-Nyani wako maana hakuna namna nyingine sasa.
Ifike mahali utu wa mtu uheshimiwe.
 
hii ishu yote ukiangali deep down ni ukosefu wa maarifa
 
Harmo rapa kamfunika hata balozi wa tembo si mchezo,msanii mwenye tour ZISIZO NA TAREHE,eti anamuiga MOND wakati mwenzake huwa anaweka na tarehe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…