Jamani mzee Kulola yupo ITV anaboa
Askofu mmoja aliyekuwa anaheshimika na sasa amebaki kama kachanganyikiwa vile,...analazimisha maandiko matakatifu yampigie kura mwanasiasa fulani. Kuchakachua dini huko
Nilikuamini sana mzee Kulola lakini huku ulikokwenda siko, naanza kutia shaka uadilifu wako kwa watanzania