Elections 2015 Moses Mwizarubi kumvaa Lema Arusha

Anapoteza pesa zake bure ningemshauri aende shule akajiendeleze na kujijenga kimaisha kabla hajaingia kwenye siasa.
 
Mtoto wa Askofu Nabii & Mtume Mwizarubi baada ya Baba yake kuchota fedha za kutosha za wana kondoo kijana anataka kutoka kivingine haaa haaa.

Nakushauri bora ungechagua fani ya Baba yako pengine ungetoka kimaisha kuliko siasa za Arusha utaangukia pua bureeeeee.
 
CCM Hawaangalii Shule ya Mtu bali ni Nani Mkubwa ana final say. Huyu sidhani Kama anawazidi Watia Nia ya Urais Walioshindwa Kuingia 5-bora Matokeo yake Kijana Wanaesema alicheat Form Four akapita.
 

Mkuu mmmmmmhhhhhhhh!!!!!! kukaa kimya nako ni busara hapo kwenye red unawezakutoa ushahidi
 
Kwa Arusha Lema anatosha hatuna haja na mwingine!!!!!!!!!!
 
Wengine kina nani mkuu??

Kwani ni mgombee pekee CCM ? Kuna vigogo watania jimbo la Lema kama Makongoro Nyerere !
Au kanisa mmefunga na kuomba washindwe kujitokeza wana CCM wengine ili apite bila kupigwa ?
 
Politics za arusha zinataka wahuni chama hakiwezi kumpitisha
 
hahahhahha...mlokole kutoka CCM...Huyu nimepiga nae skuli

Hakuna kitu

Anaweza tu vitabu...alifaulu sana enzi hizo

Alafu yuko kwenye chama chakavu...ndio hovyooooooo

Akaeendelee kufundisha AIA
 
hahahhahha...mlokole kutoka CCM...Huyu nimepiga nae skuli

Hakuna kitu

Anaweza tu vitabu...alifaulu sana enzi hizo

Alafu yuko kwenye chama chakavu...ndio hovyooooooo

Akaeendelee kufundisha AIA

Yupo BOT now
 
Wangempa huyu mtoto walau kaenda shule. Lema sidhani hata darasa la tano kafika. Bongo lala, debe tupu haliishi kupiga kelele za maandamano ya viroba Bavicha
 
Moses ni hazina kwa nchi yetu. Nataman angeomba kupitia cdm jimbo lolote isipokuwa arusha amuachie lema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…