Championship
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,500
- 10,616
Goli lipi la mchongo?Anafungwa magoli ya mchongo alafu ana anzishwa Uzi Nchi tamu sana hii[emoji3][emoji3]
Hakuna striker ambaye hapotezi baadhi ya nafasi anazopata. Cha muhimu anatakiwa afikishe magoli 15 ambayo ni wastani wa goli moja kwenye kila mechi mbili.Baadaye akianza kukosa magoli, msije mkaanza kumsimanga tena. Maana kwa nongwa tu, hamjambo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeeeeh lolBaadaye akianza kukosa magoli, msije mkaanza kumsimanga tena. Maana kwa nongwa tu, hamjambo.
Nimehamia kwa PEP bana unipokee.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeeeeh lol
usishangae ndo wabongo hawakosi neno[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeeeeh lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee tenaa?Nimehamia kwa PEP bana unipokee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haswaaaah.usishangae ndo wabongo hawakosi neno
Hayo waachie wenyeweBaadaye akianza kukosa magoli, msije mkaanza kumsimanga tena. Maana kwa nongwa tu, hamjambo.
Kweli kabisa, yaani alishindwa kupanga kikosi.Mechi ya ngao ya jamii kocha alitakiwa atuombe radhi.
Zoran maki? Mbona kazubaa sana?🤣Kocha wetu anambwembwe sana apunguze