Moshi: Binti amuua Mama yake mzazi kisa Mali. Mwili wagundulika ulipozikwa baada ya mwaka mmoja

na nimagaidi kweli ,we mtt anamchinja mzazi wake kwa panga Tena n8 bint si ugaidi huo.marufuku mwanangu kuoa mchaga !! ma alshabab hao!!
Wachaga waacheni waolewe na wachaga wenzao. Nyie oweni makabila mengine tu
 
Nilipoanza kubalehe tu kwenye miaka ya 80, dingi akawa ananimbia marufuku kuoa mchagga. Sikumwelewa. Chuoni mademu wazuri wenye akili walikuwa wachagga lakini nikaepuka kishawishi.
Sio wachaga hao wana asili ya uarabuni
 
Kabisaa.....bora ujigegede tuu bila kuleta mitoto ambayo baadae inakuja kukudedksha kisa ucho wako mwenyewe mzazi. Vijana tule tuu mbususus haya mambo ya kuzalisha kama muonavyo, nikujiletea kifo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mkuu akili yako imeruka sio bure.
 
Yana laaaana hayo kaaa nayo mbali.
 
Ni vjana wa3 ndo walshrikiana kumpiga panga kichwani na shingoni.wamekiri na wapo lupango. Mazishi kesho so tulio karibu tutawakilisha wananzengo.
Jamani ilikuwaje sasa siri ikatoka? Bila shaka kuna fununu huko?
 
Daah hii hatari kubwa sana kwa sisi tuliojitwika manzi ya huko Kaskazini
 
Unajua wastaafu wengi hasa wale waliokuwa wafanyakaz wa serikali wa daraja la chini kama walimu wana rundo kubwa la watu masikin wanaowazunguka kuanzia ndugu zao mpaka watoto wao na unakuta ana watoto wengi na hawakubahatika kusoma na kupata kazi za kuajiriwa,kwahyo hawa wote zile pesa znapotoka wanatoa macho.

Mfano kuna mama mmoja jirani yetu alipostaafu watoto wake karibia wote walkuja baada ya huyo mama kupata pension wengine wanakaribia kuzeeka,walikuja wanataka wapewe hela nazan aliwapatia,bahati mbaya yule mama alkuwa kajiingiza kwenye mikopo mbalimbali yenye riba za hatari mpaka leo hii huyo mama ni masikin wa kutupwa

Kuna baadhi ya wastaafu huwa na utaratibu mzuri anapopata hela anawaita ndugu zake na watoto anawapatia kiasi kila mtu,kuna wazee huwa wanawapatia watoto wao mpaka zaidi ya mil 5.

Kuna mzee mmoja tena huyu ndo wale ambao wanaweza kuuwawa kirahis maana alichokifanya sio poa,baada ya kupata hela siku moja akawaita watoto wake mkoani alkuwa kafikia hoteli kali sana,akawanunulia mavyakula ya gharama na vinywaj akawashilikisha kwenye inshu ya kununua shell(hili ndo alikuwa kawaitia) na mwsho akawaambia hzo pesa zilizotoka ni zake wasitegemee kuwa zitakuwa zao,akawaambia anachoweza kuwapatia ni kuwalipia gharama za kusoma kwa atakaependa kusoma wakat huo kuna watoto walkuwa watu wazima hadi wana watoto na familia
 
Kua uyaone baba, haya si ya mmoja (kama sisi waswahili tunavyosema)
 
Wauwaji wanastahili adhabu Khali...hawakwepi kifungo cha maisha[emoji2769]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…