Wachaga waacheni waolewe na wachaga wenzao. Nyie oweni makabila mengine tuna nimagaidi kweli ,we mtt anamchinja mzazi wake kwa panga Tena n8 bint si ugaidi huo.marufuku mwanangu kuoa mchaga !! ma alshabab hao!!
Sio wachaga hao wana asili ya uarabuniNilipoanza kubalehe tu kwenye miaka ya 80, dingi akawa ananimbia marufuku kuoa mchagga. Sikumwelewa. Chuoni mademu wazuri wenye akili walikuwa wachagga lakini nikaepuka kishawishi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mkuu akili yako imeruka sio bure.Kabisaa.....bora ujigegede tuu bila kuleta mitoto ambayo baadae inakuja kukudedksha kisa ucho wako mwenyewe mzazi. Vijana tule tuu mbususus haya mambo ya kuzalisha kama muonavyo, nikujiletea kifo
Yana laaaana hayo kaaa nayo mbali.Yaani ukisoma comments nyingi za wachaga humu, wanajitahid kujustify hiki kitendo, mara sijui wazazi wachoyo , mara hio ni kawaida, mara sijui mbna inatokeaga na kwa wngine.. yaani hadi naogopaa, ..like serious ,kwamba kwa kua wengine wanafanya basi ni sawa huyo kufanya(kuua), Huyo anastahili kunyongwa kabisa!, Shame..!
Jamani ilikuwaje sasa siri ikatoka? Bila shaka kuna fununu huko?Ni vjana wa3 ndo walshrikiana kumpiga panga kichwani na shingoni.wamekiri na wapo lupango. Mazishi kesho so tulio karibu tutawakilisha wananzengo.
Wachagga wanaongoza kwa kufanya unyama huu, laana ya pesa na wizi, hawafai ni kabila lililojaa dhuruma na laana ya Pesa. Tubuni ama laana hii itaendelea kuwasumbua.... taarifa haijataja kabila. Na hata kama ingetaja what did you want to conclude?
Kwani walioajiri walishushiwa mali na mvua? Katafute zako, siwezi Kaa na mitoto dizaini yako.Unataka nani amwajiri mwanao? Na wenyewe wapo busy na watoto zao.
Unajua wastaafu wengi hasa wale waliokuwa wafanyakaz wa serikali wa daraja la chini kama walimu wana rundo kubwa la watu masikin wanaowazunguka kuanzia ndugu zao mpaka watoto wao na unakuta ana watoto wengi na hawakubahatika kusoma na kupata kazi za kuajiriwa,kwahyo hawa wote zile pesa znapotoka wanatoa macho.Malezi tu, mzazi wangu alipostaafu nilimshikisha kama 500K anywe bia hata miezi mitatu bila kugusa pension yake (maana tayari nilikuwa ajira kwa elimu waliyonilipia wazazi)...na ningekuwa na uwezo kipindi kile ningempa zaidi..sijawahi hata kuwaza kuhusu hela zake sana sana nikiwa freshi namtumia kidogo alipie hata maji na king'amuzi...hela wanazopata wakistaafu kwa kijana anaeza akaona nyingi ila kiukweli ni ndogo. Hapo hapo afanye biashara ambazo mara nyingi zinabuma hapo hapo ale hapo hapo ahonge na kuvimba kidogo kitaa hapo hapo alipe wasaidizi wa kazi nyumbani hapo hapo afanye house maintenance etc
Wee toa urithi ,acha kona kona...Kwani walioajiri walishushiwa mali na mvua? Katafute zako, siwezi Kaa na mitoto dizaini yako.
Hakuna kitu kama hichoWee toa urithi ,acha kona kona...
mbona mnajulikana kwa wizi na wanawake wenu wanajulikana kwa mauajiMakasiriko ya kuzaliwa kwa mganga,mkiona mtu anamali mnawaza kazipataje fanyeni kazi acheni ulonzi
Pole sana mkuu alikufanyaje embu tueleze tuzidi kujifunza kuhusu hawa watu
Kua uyaone baba, haya si ya mmoja (kama sisi waswahili tunavyosema)Nenda nyuma kwenye historia ya hiyo familia utagundua kuwa mzazi kuna uzembe ambao alileta ndio maana mtoto akai gia kwenye madawa ya kulevya.
Ukitaka kujua kuwa wazazi wengi ndio chanzo angalia tuu upuuzi huu wa kushabikia mtoto wa kike akipata mimba azae alafu arudi tena shule. Huyu akipigwa mimba tena utasema ni kosa lake au ni kosa la mzazi?
Mtumia madawa hawi addict siku moja ni kwamba mzazi alipuuza sehemu ndio inafika mpaka huko. Unakuta mzazi anaambiwa mtoto wake kakamatwa na bangi...wee mzazi unakuwa wa kwanza kwenda kumtoa. Mwache kwanza apate joto la jiwe huko ajifunze.
tulishaoyaona kwenye jamii zingine na wanafanikiwa tatizo letu sie jamaa yetu inaishi kinafiki sana.Kua uyaone baba, haya si ya mmoja (kama sisi waswahili tunavyosema)
Ni wachaga...msichana anaitwa mremaHii familia sio wachaga.
Mnakumbuka aliemchoma boyfriend wake huko mbezi someone mushiKina Dada wa moshi Wana pepo GANI ?