Hayo ni mambo ya hiari...mtu kasacrifise ujana wake kukulea na kukusomesha and everything...amefika uzeeni anataka apumue kidogo bado kuna jitu zima lina afya njema lakini livivu linataka kubaki tegemezi.Ni uchoyo wa kipuuzi ,kama ushawahi soma kitabu cha "The richest man in Babylon"utaona Arkad, anampatia mwanae hela za kusimama kiuchumi ,wahindi na waarabu wapo hivyo pia.wazazi wakibongo ni wachoyo mno...
yap,Aliko dangote,Mo ,Trump na wengine wengi, hao utajiri wao umepatikana, baada ya kumegewa kidogo na watu wao...Atoe urithi akiwa mzima wa afya?
Siyo kweli, KIna; Mo,Aliko dangote ,Trump.... Hao ni mifano ya watu walio pewa mitaji na wametoboa.Duh! Yaani mzazi amekulea, amekusomesha bado unataka Mali zake akugawie, mzazi anachoweza kukusaidia ni kukupa connection ya kazi ili upambana utafute zako na ujue uchungu wa mali. Watoto wengi wakipewa mitaji wanatapanya wanarudi tena kwa wazazi wao kwa sababu hawajui uchungu wa hizo Mali.
Akuna tunzo ya maumivu ,kama hela ipo, toa mwanao asimame kiuchumi.No pain no gain!! Tafuta zako ujue thamani yake.
Siyo wote ni wavivu,kuna wanao pambana haswa ,lakini support ina hitajika avuke mto wa umasikini....Kama zipo toa urithi.Hayo ni mambo ya hiari...mtu kasacrifise ujana wake kukulea na kukusomesha and everything...amefika uzeeni anataka apumue kidogo bado kuna jitu zima lina afya njema lakini livivu linataka kubaki tegemezi.
Yaani mchaga wa kuoa ni yule aliyeokoka na uwe umemchunguza na umemuuliza Roho Mtakatifu kujiridhisha kama ni mtu sahihi.Siom wote ni wabaya lakini wengi kuna roho za tamaa za mali za kurithi zinawaandama kwa kiasi kikubwa sanaYakitokea pengine uongee ivyo ivyo.
Ila uchagani bana hakunaga rafiki yako labda uwe na Mali.
Uzuri mie sio mgeni kwa mchaga nimesoma huko nimefanya kazi huko najua mchaga kuliko anavyojijua.
Mabinti zao wanakusaidia kupata Mali Ila Sasa ukishazipata hauchukui round.
Wamachame wenyewe wanajenga wanapangisha Ila huku wamepanga mke haitakiwi kujua Kama umejenga Mana utaambiwa kwenu kaburi sio kuwa ndo litakuwa la kwanza
Hana hatia....kesi za jinai upelelezi wake hukamilika ndani ya siku 90Okay, so wamemwachia huru kwa msingi upi?
Moshi: Mahakama yamuachia huru Wendy Mrema aliyetuhumiwa kumuua mama yake mzazi na kumzika
Wendi Mrema, yule mwanadada toka Moshi aliyetuhumiwa kumuua mama yake naye Kaachiwa huru. Taarifa zaidi inafuata. ----- Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi imemuachia huru Wendi Mrema aliyekuwa akituhumiwa kumuua mama yake mzazi. Uamuzi huo umetolewa na Hakimu, Naomi Mwirinde, leo Agosti 19...www.jamiiforums.com
Zikipita siku 90 jinai inafungwa?Hana hatia....kesi za jinai upelelezi wake hukamilika ndani ya siku 90
Upelelezi ukikamilika na ikaonekana mtuhumiwa hana hatia....Zikipita siku 90 jinai inafungwa?
Sasa kesi kama hii binti alikili na ushahidi upo wa mifupa inakuaje hiiUpelelezi ukikamilika na ikaonekana mtuhumiwa hana hatia....