Pre GE2025 Moshi hatuna deni na mbunge wetu Bali sisi ndio tuna deni la kulipa kwake kwa kumpa kura za kishindo

Pre GE2025 Moshi hatuna deni na mbunge wetu Bali sisi ndio tuna deni la kulipa kwake kwa kumpa kura za kishindo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Joined
Jul 27, 2024
Posts
26
Reaction score
12
Mnamo 2020 tuliletewa baraka na Mungu ya kuwa na mgombea kutoka CCM NDG.PRISCUS TARIMO na tukampa kura za ndio tukiamini Atafanya maendeleo japo kidogo ambapo chadema walishindwa kabisa kutuletea..

Maajabu yakaongezeka kwa Mbunge huyu kuwa kinara wa maendeleo makubwa na yasiyo na kifani kwenye Jimbo letu la Moshi..

Amekaa muda mchache kafanya mambo makubwa sana na mengine yanaendelea kufanyika na tukisubiria fedha serikali kuu kwa ukamilifu wa miradi kadhaa inayoendelea kurindima Jimbo kwa KASI..

Mh.Priscus amekuwa TUNU na nyota njema kwa Wana moshi na nuru ya maendeleo inayoangaza huku ikimeremeta kwa mng'ao wa maendeleo endelevu anayo yapambania Mbunge wetu Mh.Priscus Tarimo wa CCM..

Moshi hatuna deni na mbunge wetu Bali sisi ndio tuna deni la kulipa kwake kwa kumpa kura za kishindo ili tuendelee kunufaika na baraka hizi za kiongozi Bora 2025-2030..

Tutakuchagua tutakupa ushirikiano wa aina zote katika uchaguzi wa mwaka huu na tutapiga kura za ndio kwako na za kishindo kwa Rais MAMA SAMIA na madiwani wote wa CCM.

PRISCUS TARIMO BINGWAA ANAFAA HATUMUACHI TUNA YEYE IMETIKI NJE NDANI

By Mwandishi Bora
 
Kwanin hapiganii upanuzi wa mji wa Moshi?

Hiyo Moshi sasaivi imekuwa na mashamba mpaka mjini kati kati... shida ipo wap?

Miradi mikubwa yote ya serikali inaenda Arusha...
 
Mnamo 2020 tuliletewa baraka na Mungu ya kuwa na mgombea kutoka CCM NDG.PRISCUS TARIMO na tukampa kura za ndio tukiamini Atafanya maendeleo japo kidogo ambapo chadema walishindwa kabisa kutuletea..

Maajabu yakaongezeka kwa Mbunge huyu kuwa kinara wa maendeleo makubwa na yasiyo na kifani kwenye Jimbo letu la Moshi..

Amekaa muda mchache kafanya mambo makubwa sana na mengine yanaendelea kufanyika na tukisubiria fedha serikali kuu kwa ukamilifu wa miradi kadhaa inayoendelea kurindima Jimbo kwa KASI..

Mh.Priscus amekuwa TUNU na nyota njema kwa Wana moshi na nuru ya maendeleo inayoangaza huku ikimeremeta kwa mng'ao wa maendeleo endelevu anayo yapambania Mbunge wetu Mh.Priscus Tarimo wa CCM..

Moshi hatuna deni na mbunge wetu Bali sisi ndio tuna deni la kulipa kwake kwa kumpa kura za kishindo ili tuendelee kunufaika na baraka hizi za kiongozi Bora 2025-2030..

Tutakuchagua tutakupa ushirikiano wa aina zote katika uchaguzi wa mwaka huu na tutapiga kura za ndio kwako na za kishindo kwa Rais MAMA SAMIA na madiwani wote wa CCM.

PRISCUS TARIMO BINGWAA ANAFAA HATUMUACHI TUNA YEYE IMETIKI NJE NDANI

By Mwandishi Bora
Wewe ndiye huyo mbunge Tarimo Acha fix 😡
 
Kawaida
Moshi ukitoa pombe na nyama unachaguliwa hata katikati ya msimu
 
Mnamo 2020 tuliletewa baraka na Mungu ya kuwa na mgombea kutoka CCM NDG.PRISCUS TARIMO na tukampa kura za ndio tukiamini Atafanya maendeleo japo kidogo ambapo chadema walishindwa kabisa kutuletea..

Maajabu yakaongezeka kwa Mbunge huyu kuwa kinara wa maendeleo makubwa na yasiyo na kifani kwenye Jimbo letu la Moshi..

Amekaa muda mchache kafanya mambo makubwa sana na mengine yanaendelea kufanyika na tukisubiria fedha serikali kuu kwa ukamilifu wa miradi kadhaa inayoendelea kurindima Jimbo kwa KASI..

Mh.Priscus amekuwa TUNU na nyota njema kwa Wana moshi na nuru ya maendeleo inayoangaza huku ikimeremeta kwa mng'ao wa maendeleo endelevu anayo yapambania Mbunge wetu Mh.Priscus Tarimo wa CCM..

Moshi hatuna deni na mbunge wetu Bali sisi ndio tuna deni la kulipa kwake kwa kumpa kura za kishindo ili tuendelee kunufaika na baraka hizi za kiongozi Bora 2025-2030..

Tutakuchagua tutakupa ushirikiano wa aina zote katika uchaguzi wa mwaka huu na tutapiga kura za ndio kwako na za kishindo kwa Rais MAMA SAMIA na madiwani wote wa CCM.

PRISCUS TARIMO BINGWAA ANAFAA HATUMUACHI TUNA YEYE IMETIKI NJE NDANI

By Mwandishi Bora
Ni wakati wa wapinzani sasa.
 
Kawaida
Moshi ukitoa pombe na nyama unachaguliwa hata katikati ya msimu
Hakuna watu wanajielewa kwa Moshi ndugu. Ukiaacha ujinga CCM ilofanya uchaguzi 2020 ila hapa CCM kupata hata Diwani tuu mmoja kwa wilaya hiyo wanashangilia balaaa.

Kuna mbunge mmoja 2015(jina limenitoka na akikuwa Bilionea) Alihonga balaa Ila alipigwa chini kwenye uchaguzi..
Yeye alihonga mitaji kwa kinamama, Alihonga pikipiki , Alihonga vilabu vya mpira jezi, mipira na hela Ila zilienda na maji.
 
Mnamo 2020 tuliletewa baraka na Mungu ya kuwa na mgombea kutoka CCM NDG.PRISCUS TARIMO na tukampa kura za ndio tukiamini Atafanya maendeleo japo kidogo ambapo chadema walishindwa kabisa kutuletea..

Maajabu yakaongezeka kwa Mbunge huyu kuwa kinara wa maendeleo makubwa na yasiyo na kifani kwenye Jimbo letu la Moshi..

Amekaa muda mchache kafanya mambo makubwa sana na mengine yanaendelea kufanyika na tukisubiria fedha serikali kuu kwa ukamilifu wa miradi kadhaa inayoendelea kurindima Jimbo kwa KASI..

Mh.Priscus amekuwa TUNU na nyota njema kwa Wana moshi na nuru ya maendeleo inayoangaza huku ikimeremeta kwa mng'ao wa maendeleo endelevu anayo yapambania Mbunge wetu Mh.Priscus Tarimo wa CCM..

Moshi hatuna deni na mbunge wetu Bali sisi ndio tuna deni la kulipa kwake kwa kumpa kura za kishindo ili tuendelee kunufaika na baraka hizi za kiongozi Bora 2025-2030..

Tutakuchagua tutakupa ushirikiano wa aina zote katika uchaguzi wa mwaka huu na tutapiga kura za ndio kwako na za kishindo kwa Rais MAMA SAMIA na madiwani wote wa CCM.

PRISCUS TARIMO BINGWAA ANAFAA HATUMUACHI TUNA YEYE IMETIKI NJE NDANI

By Mwandishi Bora
he sifa zimezidi tena
 
Ok basi kungekuwa na hata hospital mpya,

Moshi ni ile ile, stand ile ile ebu ongea vitu vingine!

Ama urudi kwenu kibosho road ukanywe mtorrriiiii
 
Mnamo 2020 tuliletewa baraka na Mungu ya kuwa na mgombea kutoka CCM NDG.PRISCUS TARIMO na tukampa kura za ndio tukiamini Atafanya maendeleo japo kidogo ambapo chadema walishindwa kabisa kutuletea..

Maajabu yakaongezeka kwa Mbunge huyu kuwa kinara wa maendeleo makubwa na yasiyo na kifani kwenye Jimbo letu la Moshi..

Amekaa muda mchache kafanya mambo makubwa sana na mengine yanaendelea kufanyika na tukisubiria fedha serikali kuu kwa ukamilifu wa miradi kadhaa inayoendelea kurindima Jimbo kwa KASI..

Mh.Priscus amekuwa TUNU na nyota njema kwa Wana moshi na nuru ya maendeleo inayoangaza huku ikimeremeta kwa mng'ao wa maendeleo endelevu anayo yapambania Mbunge wetu Mh.Priscus Tarimo wa CCM..

Moshi hatuna deni na mbunge wetu Bali sisi ndio tuna deni la kulipa kwake kwa kumpa kura za kishindo ili tuendelee kunufaika na baraka hizi za kiongozi Bora 2025-2030..

Tutakuchagua tutakupa ushirikiano wa aina zote katika uchaguzi wa mwaka huu na tutapiga kura za ndio kwako na za kishindo kwa Rais MAMA SAMIA na madiwani wote wa CCM.

PRISCUS TARIMO BINGWAA ANAFAA HATUMUACHI TUNA YEYE IMETIKI NJE NDANI

By Mwandishi Bora
Chawa wa Tarimo mmeshaanza kuwashwawashwa tena. Inaelekea huyo kimeo kakupa bahasha ili umpigie promo.
Kwa miaka yake mitano haya ndiyo ameyafanya:

1. Stand kuu ya moshi imetekelezwa
2. Moshi imezidi kuwa chafu
3. Masoko hayatamaniki
4. Shule zetu zote zimechakaa
5. Moshi hadi leo haina uwanja wake wa kisasa wa mpira wa miguu
6. Kashindwa kuhimiza moshi kuwa jiji
 
Nenda chato Kwa magumu mwambie aje kutoa amri mkurugenzi akuchague, vinginevyo Kwa kura hutoboi. Kwanza na hsira na wewe ulikuwa na mahusiano na mchepuko wangu, bungeni upo kama haupo.
 
Mnamo 2020 tuliletewa baraka na Mungu ya kuwa na mgombea kutoka CCM NDG.PRISCUS TARIMO na tukampa kura za ndio tukiamini Atafanya maendeleo japo kidogo ambapo chadema walishindwa kabisa kutuletea..

Maajabu yakaongezeka kwa Mbunge huyu kuwa kinara wa maendeleo makubwa na yasiyo na kifani kwenye Jimbo letu la Moshi..

Amekaa muda mchache kafanya mambo makubwa sana na mengine yanaendelea kufanyika na tukisubiria fedha serikali kuu kwa ukamilifu wa miradi kadhaa inayoendelea kurindima Jimbo kwa KASI..

Mh.Priscus amekuwa TUNU na nyota njema kwa Wana moshi na nuru ya maendeleo inayoangaza huku ikimeremeta kwa mng'ao wa maendeleo endelevu anayo yapambania Mbunge wetu Mh.Priscus Tarimo wa CCM..

Moshi hatuna deni na mbunge wetu Bali sisi ndio tuna deni la kulipa kwake kwa kumpa kura za kishindo ili tuendelee kunufaika na baraka hizi za kiongozi Bora 2025-2030..

Tutakuchagua tutakupa ushirikiano wa aina zote katika uchaguzi wa mwaka huu na tutapiga kura za ndio kwako na za kishindo kwa Rais MAMA SAMIA na madiwani wote wa CCM.

PRISCUS TARIMO BINGWAA ANAFAA HATUMUACHI TUNA YEYE IMETIKI NJE NDANI

By Mwandishi Bora
Moshi CBD Usiku ni giza kabisa hamna taa,solar sasa hivi ni bei poa kabisa kila mji unawaka,ila moshi taa za solar chache zimewekwa hadi majengo pale karibu na moshi pazuri baaasi!

Mwambie Tarimo moshi mjini pako gizani na jua linawaka balaa linaishia chini.
 
Mnamo 2020 tuliletewa baraka na Mungu ya kuwa na mgombea kutoka CCM NDG.PRISCUS TARIMO na tukampa kura za ndio tukiamini Atafanya maendeleo japo kidogo ambapo chadema walishindwa kabisa kutuletea..

Maajabu yakaongezeka kwa Mbunge huyu kuwa kinara wa maendeleo makubwa na yasiyo na kifani kwenye Jimbo letu la Moshi..

Amekaa muda mchache kafanya mambo makubwa sana na mengine yanaendelea kufanyika na tukisubiria fedha serikali kuu kwa ukamilifu wa miradi kadhaa inayoendelea kurindima Jimbo kwa KASI..

Mh.Priscus amekuwa TUNU na nyota njema kwa Wana moshi na nuru ya maendeleo inayoangaza huku ikimeremeta kwa mng'ao wa maendeleo endelevu anayo yapambania Mbunge wetu Mh.Priscus Tarimo wa CCM..

Moshi hatuna deni na mbunge wetu Bali sisi ndio tuna deni la kulipa kwake kwa kumpa kura za kishindo ili tuendelee kunufaika na baraka hizi za kiongozi Bora 2025-2030..

Tutakuchagua tutakupa ushirikiano wa aina zote katika uchaguzi wa mwaka huu na tutapiga kura za ndio kwako na za kishindo kwa Rais MAMA SAMIA na madiwani wote wa CCM.

PRISCUS TARIMO BINGWAA ANAFAA HATUMUACHI TUNA YEYE IMETIKI NJE NDANI

By Mwandishi Bora
Watu wa Moshi mnapenda sana kujipakulia minyama. Na mwenzako Henry Kilewo naye aliwahi kujipakulia minyama hivi hivi wakati anafunga ndoa na aliyekuwa mke wake (Joyce Kiria)! Siku Mods walipomuumbua, mpaka leo hajawahi tena kurudi jamii forums.

Sasa wewe Mheshimiwa na wewe unarudia makosa yale yale ya mwenzako!!
 
Mji wa Shanghai wanahitaji lakini Mji wa Moshi hawana, maajabu ya Dunia ndiyo haya sasa.
Ukiingia Shanghai Tower unaona kabisa mipango ya how Shanghai city will looklike in 50years to come. Ila raia mmoja kutoka Moshi anasema imetosha ndugu yetu Mh Mbunge wewe pumzika tu.
 
Unaongelea Moshi ipi ndugu?Usimndanganye mwenzako huyu jamaa hata UDIWANI hawezipata. hivi unajua Siasa za Moshi wewe.
 
Back
Top Bottom