mgunga pori
JF-Expert Member
- Jul 23, 2016
- 4,092
- 4,896
Mkuu kada yetu imevamiwa na incompetent personel sijajua hata kama incharge wao alifanya vetting ya proof readingMbona kuna makosa makubwa ya kiuandishi kwenye hiyo Hati ya Mashtaka? Tafadhalini Mawakili wenzangu wa Serikali, umakini unatakiwa wakati wa kuandaa nyaraka kama hizi. Wakati mwingine makosa haya huyumbisha hata shauri zima. Masahihisho yafanyike mapema!
Mbona kuna makosa makubwa ya kiuandishi kwenye hiyo Hati ya Mashtaka? Tafadhalini Mawakili wenzangu wa Serikali, umakini unatakiwa wakati wa kuandaa nyaraka kama hizi. Wakati mwingine makosa haya huyumbisha hata shauri zima. Masahihisho yafanyike mapema!
Yote ni majangili tupuAlly Hapi, Mnyeti, Jerry Muro hawakufanya ujambazi, wao ni siasa tu. Ukifatilia Kwa undani Hawa mabwana walikuwa wanasaidia wananchi Sana, wakitatu CHANGAMOTO za wananchi BILA kujali itikadi na Imani zao na bila kiathiri utu wao.
KAZI IPO KWA GAMBO, GAMBO TUBU, TUBU NA UJIREKEBISHE. KUHUSU MAKONDA NYOTE MWAFAHAMU
Wakili unge- highlight hayo makosa ya kiuandishi na sio kuandika jumla jumla kwamba chaji imekosewa!Mbona kuna makosa makubwa ya kiuandishi kwenye hiyo Hati ya Mashtaka? Tafadhalini Mawakili wenzangu wa Serikali, umakini unatakiwa wakati wa kuandaa nyaraka kama hizi. Wakati mwingine makosa haya huyumbisha hata shauri zima. Masahihisho yafanyike mapema!
Aisee....Raibu aliwahi kutajwa kwenye sakata la mfanyabiashara Elioth Lyimo, aliyedai kuchukuliwa fedha zake Sh25 milioni na aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya kwamba wakati akizichukua alikuwa na Raibu.
π π π π Hapo sasa..Juma raibu atahimili kweli minimising ya jela
Ova
inafikirisha sanaKama mchakato utakamilika hadi mwisho na haki ikatendeka hapo nitaamini. Ila kwa hii sisiem ya mwaka 77 kwa maigizo hawajambo. Hivi ina maana kati ya 2015 hadi 2020 CCM nzima ilikua imelala? Usalama walilala? Jeshi la polisi walilala? Mambo ya hawa watu kama walifanya wenyewe bila baraka za chama na wakubwa wao hayakujulikana? Naendelea kuwa Tomaso hadi nipapase kwa mikono yangu mwenyewe.
wenye chama wanasenaje?... jamani CCM kumejaa majambazi sio mchezo! Kunahitajika reformation ya hali ya juu sana.
Hivi hawa mawakili 'wenzenu' wa serikali huwa wanasoma vyuo tofauti na nyie?au wao huwa wanasomea kushindwa kesi?Mbona kuna makosa makubwa ya kiuandishi kwenye hiyo Hati ya Mashtaka? Tafadhalini Mawakili wenzangu wa Serikali, umakini unatakiwa wakati wa kuandaa nyaraka kama hizi. Wakati mwingine makosa haya huyumbisha hata shauri zima. Masahihisho yafanyike mapema!
Wengi kazi yao ni kuvaa vimini na kushida bar watasoma kesi saa ngapi.Hivi hawa mawakili 'wenzenu' wa serikali huwa wanasoma vyuo tofauti na nyie?au wao huwa wanasomea kushindwa kesi?
Huyu ana bahati na anacheza very smart, ila jinai haifi, time will tell.Ole Sabaya = Juma Raibu Juma
View attachment 2248774
Mkuu, Yaani Jinai ikiibuka inakua kama umefanya jana,kumbe ulitenda kosa la jinai miaka 15 iliyopita!!Huyu ana bahati na anacheza very smart, ila jinai haifi, time will tell.
Hatari sana, Ipo siku itachua dola chama kingine, watu watakimbia nchi:Mkuu, Yaani Jinai ikiibuka inakua kama umefanya jana,kumbe ulitenda kosa la jinai miaka 15 iliyopita!!