Kwanini utumie lugha ya maudhi hujui itamuharibia mtu mood?Hivi unajua ''ujinga'' siyo tusi? Unajua maana yake ni kutojua? Kila mtu ni mjinga kwa namna fulani.
Maduka ya Dawa za Hosp je? Yani vitamin c vidonge 10 sh 3,000, vitamin D vidonge 10 sh 3,000 pia, zinc vidonge 10 1500. Kazi ipo, hapo bado antibiotics na masindano . Mungu tusaidie tu.Inshort wauza majeneza wapo kwenye high season
Wandugu hali ni mbaya na inazidi kuwa mbaya..korona ipo..Its not a joke.. Tukuchukue tahadhari zote muhimu huku tukifanya maombi na swala
Kusema pombe ndio sababu sidhani kama hii hoja ni kweli, mimi naamini moshi wapo watu wengi wenye umri mkubwa.Miili mingi ya watu wa moshi kinga ni ndogo sana kwa sababu ya pombe.Mwenyezi mungu awaepushe na hili gonjwa waliobaki hai.
Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Kushare mbege kwenye chombo kimojaUtamaduni gani
PoleniDah. Covid ikiisha wataanza kulia tena biashara mbaya watu hawafi.
Ilikuwa wakati ule corona ikiwa kwenye kilele....sasa hivi hali imerudi kawaida.Poleni