Mosimane atunukiwa PhD kwa jitihada zake kwenye soka Barani Africa

Mosimane atunukiwa PhD kwa jitihada zake kwenye soka Barani Africa

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Screenshot_2024-07-26-15-47-16-1.png


Hii ndio Taarifa mpya ya sasa kutoka Africa ya kusini, na kwamba Makocha kadhaa wamehudhuria, wakiwemo Ibenge na Cisse wa Senegal

Pia Rais wa Yanga ameonekana kujichomeka kwenye hafla hiyo, Japo hakualikwa, Almanusura azuiliwe mlangoni, Shukrani kwa Viongozi wa Kaizer Chiefs walioingilia kati kuokoa jahazi

Screenshot_2024-07-26-15-46-38-1.png
Screenshot_2024-07-26-15-46-52-1.png
 
Hii ndio Taarifa mpya ya sasa kutoka Africa ya kusini, na kwamba Makocha kadhaa wamehudhuria, wakiwemo Ibenge na Cisse wa Senegal

Pia Rais wa Yanga ameonekana kujichomeka kwenye hafla hiyo, Japo hakualikwa, Almanusura azuiliwe mlangoni, Shukrani kwa Viongozi wa Kaizer Chiefs walioingilia kati kuokoa jahazi
Mwanaume kuwa na wivu hii nini maana yake?

FB_IMG_1721997888839.jpg
 
Kimsingi kwenye jukwaa hili mweupe sana angebaki kuwa msomaji tu.
Hivi huku kwenye michezo kuna uchambuzi gani wa kufanya muitane vikao kunizuia?

Nasema hivi, Sitabanduka hata kwa bunduki, Matola huna mamlaka ya kunipangia, hujawahi kuwa nayo na wala hutakuja kuwa nayo, usijaribu kujidanganya
 
Naonaga kote tu ni mweupe
Ushaingilia ugomvi usiokuhusu sasa jiandae kwa mapambano, Yaani Wajinga Wachache mnakusanyana na kuamua kunipangia majukwaa hapa jf kisa siasa! sasa nahamia rasmi jukwaa hili

Ukicheka na Mbwa iko siku atakufuata msikitini
 
Ushaingilia ugomvi usiokuhusu sasa jiandae kwa mapambano, Yaani Wajinga Wachache mnakusanyana na kuamua kunipangia majukwaa hapa jf kisa siasa! sasa nahamia rasmi jukwaa hili

Ukicheka na Mbwa iko siku atakufuata msikitini
Toa taarifa Mkuu acha unazi mtu anajichomekaje kwenye hafla ya watu mbona SA wabongo wapo kibao hawajaenda ondoa mambo ya kishabiki kwenye taarifa muhimu hauoni ni jambo jema kwa Mtanzania mwenzio tena junk tu kuwa maeneo hayo...
 
View attachment 3052788

Hii ndio Taarifa mpya ya sasa kutoka Africa ya kusini, na kwamba Makocha kadhaa wamehudhuria, wakiwemo Ibenge na Cisse wa Senegal

Pia Rais wa Yanga ameonekana kujichomeka kwenye hafla hiyo, Japo hakualikwa, Almanusura azuiliwe mlangoni, Shukrani kwa Viongozi wa Kaizer Chiefs walioingilia kati kuokoa jahazi

View attachment 3052786View attachment 3052787
Matajiri wanatafuta connection, maskini wanajifanya jeuri. Ile kauli ya mwenye nacho huongezewa ndiyo hutimia hapa.
 
Back
Top Bottom