Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #21
Nashukuru wewe hukumtaja MboweToa taarifa Mkuu acha unazi mtu anajichomekaje kwenye hafla ya watu mbona SA wabongo wapo kibao hawajaenda ondoa mambo ya kishabiki kwenye taarifa muhimu hauoni ni jambo jema kwa Mtanzania mwenzio tena junk tu kuwa maeneo hayo...
Hahahahaha, huwa sitishiki MkuuUshaingilia ugomvi usiokuhusu sasa jiandae kwa mapambano, Yaani Wajinga Wachache mnakusanyana na kuamua kunipangia majukwaa hapa jf kisa siasa! sasa nahamia rasmi jukwaa hili
Ukicheka na Mbwa iko siku atakufuata msikitini
View attachment 3052788
Hii ndio Taarifa mpya ya sasa kutoka Africa ya kusini, na kwamba Makocha kadhaa wamehudhuria, wakiwemo Ibenge na Cisse wa Senegal
Pia Rais wa Yanga ameonekana kujichomeka kwenye hafla hiyo, Japo hakualikwa, Almanusura azuiliwe mlangoni, Shukrani kwa Viongozi wa Kaizer Chiefs walioingilia kati kuokoa
Vipi Arteta kabeba kikombe hata cha kahawa?Jamaa anazichukiaga club Bila sababu za msingi, rejea nyuzi zake za arsenal na arteta.
Alimzalisha mama yako akazaa toto jinga kama wewe.Una shida ya akili si bure, Mbowe anaingiaje hapa!? Au alikuzalisha akakutelekeza?
Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
Ila wewe ndio umemtaja Mbowe sasa, unaona ulivyo boya?Nashukuru wewe hukumtaja Mbowe
Nimwenyekiti wa vilabu vyote vya mpira Africa hawezi kukosaView attachment 3052788
Hii ndio Taarifa mpya ya sasa kutoka Africa ya kusini, na kwamba Makocha kadhaa wamehudhuria, wakiwemo Ibenge na Cisse wa Senegal
Pia Rais wa Yanga ameonekana kujichomeka kwenye hafla hiyo, Japo hakualikwa, Almanusura azuiliwe mlangoni, Shukrani kwa Viongozi wa Kaizer Chiefs walioingilia kati kuokoa jahazi
View attachment 3052786View attachment 3052787