Mfumo wa upangaji matokeo ya kidato cha sita ulibadilika? Kwa alama ulizopata wewe ni sawa na daraja la kwanza na nukta nane (Division 1.8).Habari za mda huu wadau Ninaomba msaada.Nilimaliza form six CBG na kupata div three chemistry B,biology C na geography C hivyo nikaamua kwenda kusoma diploma ya ualimu na nikafanikiwa kumaliza na kupata GPA 4.9 ya CB at gorvernment college na kuajiriwa sasa Nina miaka miwili kazini hivyo naitaji kurudi kusoma ila nimeshauliwa nikasome masters degree je ninaweza kusoma kwa sifa hizi na kama inawezekana ni chuo gani naweza kwenda naomba kusaidiwa
Inawezakana. Moja ya sifa ya kusoma shahada ya umahiri wanaangalia wasifu wa muombaji vyuo vyote ulimwenguni kuanzia Ivy league (Harvard, Brown, Stanford) mpaka huku mchangani kama Cape Town (UCT), Dar es Salaam (Udsm), Makerere au Nairobi.Sijaelewa, una diploma na unataka ukasome masters!?
Kama ndio hivyo, naomba unitoe tongotongo na mimi, kwamba inawezekana vipi mtu asome Masters kutokea diploma bila kupitia degree!?
Mkuu kiukweli nashukuru sana kwa ushauri wako mzuri na wenye kujengaInawezakana. Moja ya sifa ya kusoma shahada ya umahiri wanaangalia wasifu wa muombaji vyuo vyote ulimwenguni kuanzia Ivy league (Harvard, Brown, Stanford) mpaka huku mchangani kama Cape Town (UCT), Dar es Salaam (Udsm), Makerere au Nairobi.
Kuna njia za aina mbili ili uweze kusoma shahada ya umahiri;
- Uwe na shahada ya uangavu au awali. Au
- Uwe na uzoefu na uwezo mkubwa sana wa hicho kitu unachotaka kuomba hapa hata bila kuwa na shahada ya awali utakubaliwa. Hii ni njia ngumu sana. Mf. Bill Gates, Evan Spiegel, Mark Zuckerberg hawakumaliza shahada ya awali ila wakiomba kusoma elimu ya umahiri au uzamivu (Ph.D) hakuna chuo kinaweza kuwakataa. (Hapa wasifu wako ndio unatumika)
Mkuu kwa upande wangu napenda sana fani yangu ya kufundisha hata masters naitaji kusoma Masters of EducationInawezakana. Moja ya sifa ya kusoma shahada ya umahiri wanaangalia wasifu wa muombaji vyuo vyote ulimwenguni kuanzia Ivy league (Harvard, Brown, Stanford) mpaka huku mchangani kama Cape Town (UCT), Dar es Salaam (Udsm), Makerere au Nairobi.
Kuna njia za aina mbili ili uweze kusoma shahada ya umahiri;
- Uwe na shahada ya uangavu au awali. Au
- Uwe na uzoefu na uwezo mkubwa sana wa hicho kitu unachotaka kuomba hapa hata bila kuwa na shahada ya awali utakubaliwa. Hii ni njia ngumu sana. Mf. Bill Gates, Evan Spiegel, Mark Zuckerberg hawakumaliza shahada ya awali ila wakiomba kusoma elimu ya umahiri au uzamivu (Ph.D) hakuna chuo kinaweza kuwakataa. (Hapa wasifu wako ndio unatumika)
Habari Nina diploma ya ualimu wa masomo ya chemistry na biology nilie ajiriwa na nilipata GPA 4.9 upper first class je Nina weza kusoma masters degree na ni chuo gan hapa Tanzania kinaweza nichuakua naombeni msaada wenu
Sijaelewa, una diploma na unataka ukasome masters!?
Kama ndio hivyo, naomba unitoe tongotongo na mimi, kwamba inawezekana vipi mtu asome Masters kutokea diploma bila kupitia degree!?
Mtu akisema ukweli unafikiri uongo je akisema uongo utakilia nn ukweli au wakuu huo ndio ukweli wangu mwenye kunisaidia mawazo namuomba sanaKwa ufaulu huo angeweza kusoma hata MD kwenye private institute. Nashangaa kuona anatudanganya kuwa amesoma diploma ya education mara anataka kwenda masters, uongo mwingi.
Pia sikupenda kwenda huko napenda kufundisha sana maishani mwangu nakuomba sana ushauri wakoKwa ufaulu huo angeweza kusoma hata MD kwenye private institute. Nashangaa kuona anatudanganya kuwa amesoma diploma ya education mara anataka kwenda masters, uongo mwingi.
Nashukuru kwa ushauri wakoKaka una future gani? Kufundisha?? au kufanya kazi zingine???
Kama unataka kufundisha Sikushauri kupitia mfumo wa Diploma > Post graduate diploma > Masters
Pitia Degree kisha masters
Ila kama unataka kufanya kazi nyingine ni sawa.
Itakusumbua sana kupata kazi ya kufundisha kwa level ya masters wakati huna first degree.
Na kwa heshima yako na Taaluma yako nafuu uksoma degree. Degree ni level ua elimu muhimu sana
Habari za mda huu wadau Ninaomba msaada.Nilimaliza form six CBG na kupata div three chemistry B,biology C na geography C hivyo nikaamua kwenda kusoma diploma ya ualimu na nikafanikiwa kumaliza na kupata GPA 4.9 ya CB at gorvernment college na kuajiriwa sasa Nina miaka miwili kazini hivyo naitaji kurudi kusoma ila nimeshauliwa nikasome masters degree je ninaweza kusoma kwa sifa hizi na kama inawezekana ni chuo gani naweza kwenda naomba kusaidiwa
Kujiendeleza ni kitu muhimu. Kwa mfumo wetu wa Tanzania kurua toka (ordinary) Diploma kwenda Masters ni kitu kigumu sana wala sijapata mfano wowote wa hilo jambo. Zamani tulikuwa na Higher Diploma ambayo iliwaruhusu watu kwenda Masters moja kwa moja. Hivyo basi itakubidi utafute na kupata first degree kabla ya Masters. All the best.Inawezakana. Moja ya sifa ya kusoma shahada ya umahiri wanaangalia wasifu wa muombaji vyuo vyote ulimwenguni kuanzia Ivy league (Harvard, Brown, Stanford) mpaka huku mchangani kama Cape Town (UCT), Dar es Salaam (Udsm), Makerere au Nairobi.
Sijawahi sikia mtu katoka diploma akaenda kusomea masters atleast kwa bongo.Habari za mda huu wadau Ninaomba msaada.Nilimaliza form six CBG na kupata div three chemistry B,biology C na geography C hivyo nikaamua kwenda kusoma diploma ya ualimu na nikafanikiwa kumaliza na kupata GPA 4.9 ya CB at gorvernment college na kuajiriwa sasa Nina miaka miwili kazini hivyo naitaji kurudi kusoma ila nimeshauliwa nikasome masters degree je ninaweza kusoma kwa sifa hizi na kama inawezekana ni chuo gani naweza kwenda naomba kusaidiwa