MOSSAD: "A" "BE" na "CHE" ya mashetani wenye ithibati ya mauaji

Duh ....Kumbe nao wanapokeaga kipigo ???
 
mbona vyombo vingine vya nje vukiua inakua interesting story kwa wabongo....yani utasikia majina yote ya kusifia kwa taasisi husika.....lakini bongo mtu alikitekwa tu ....utasikia taasisi flani ifutwe
Tofaut ni kwamba nyie mnateka na kuua raia wenzenu wanaua maadui kwa maslahi ya nchi zao. Tena nyie mnaua kwa maslahi ya mtu au kikundi cha watu wachache.
 
Tofaut ni kwamba nyie mnateka na kuua raia wenzenu wanaua maadui kwa maslahi ya nchi zao. Tena nyie mnaua kwa maslahi ya mtu au kikundi cha watu wachache.
adui anaweza kuwa wa nje au ndani....na mauaji ni yale yale tu na kama ni dhambi mbele ya mungu ni ile ile tu! uue mtz,mrundi,mzungu au mwarabu zote ni damu ya mwanadamu. ...wanaotambua adui wa tz vizuri ni hao yaani vyombo vya ulinzi na usalama
 
Hongera sana Mkuu StevenMollel kwa bandiko lako hili. Usisahau kuni'tag' kila wakati utumapo bandiko humu JF.

Sent from my Infinix X603 using JamiiForums mobile app
 
Siku USA ikiisha Israel nayo...kwishne...wale ni matajiri wa ulaya waliopata mitaji Duniani kwakuuza watumwa. Kifupi ni vitukuu vya wauza watumwa hawana lolote...ile ni hela yetu twende tukaidai...Duniani humu bila mweusi hkn maisha...fikirua tu na covid hii nani atawaoshea vyoo vyao????
Make weusi hawaendi kwa sasa
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Poa sana mwamba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…