Mossad, IDF pamoja kusaidiwa na Marekani na Uingereza wameshindwa kuwarudisha mateka kutoka Gaza, atayekaleta mateka kupewa $5M

Mossad, IDF pamoja kusaidiwa na Marekani na Uingereza wameshindwa kuwarudisha mateka kutoka Gaza, atayekaleta mateka kupewa $5M

Ritz

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2011
Posts
51,303
Reaction score
40,190
Wanaukumbi.

Ni aibu kubwa IDF jeshi ambalo tuliaminishwa kuwa lina kila kitu makomandoo bora kabisa duniani na majingambo ya Netanyahu kuwa tunaingia Rafah kuwarudisha mateka wetu haamna wa kutuzui leo hii Waziri Mkuu wa Israel Netanyahu anasema Israel inatoa zawadi ya $5m kwa yeyote atakayemrejesha mateka kutoka Gaza.

Kwa maaan hiyo jeshi limeshindwa, Mossad, wameshindwa, Marekani na Ulaya wameshindwa.

Sasa wanawaomba wale wanaowapiga mabomu na kuuwa watoto wao leo hii wanataka wawasadie kuwapa pesa wawaonyeshe walipo mateka watawapa pesa.

Hamas, walisema kweli kuwa hata mfanye nini hamuwezi kuwapata mateka wenu.


AlJazeera.PNG
 
Inawezekana hao Mateka hawapo tena Gaza, ukute walishaondoshwa na kupelekwa Syria au Iran. Kwa udogo wa Gaza wangeshajulikana walipo
 
Inashangaza jinsi IDF inavyoweza kumuua Ismail Haniyeh mjini Tehran kupitia AI, kumteketeza Hassan Nasrallah kwa shambulio la anga lililosahihi kabisa, kuua na kuwaumiza raia wasio na hatia wa Lebanon kwa kutumia kurasa za vilipuzi--lakini hawawezi kufahamu jinsi ya kupata mateka wao katika Gaza yenye hali mbaya ya hewa waliyounda.
 
Inawezekana hao Mateka hawapo tena Gaza, ukute walishaondoshwa na kupelekwa Syria au Iran. Kwa udogo wa Gaza wangeshajulikana walipo
Wewe na Hamas tumuamini nani? Wamepelekwa kupitia wapi
Wakati njia zote zinathibitiwa na Israel.

Hamas wanasema mateka wapo Gaza, na wapo tayari kuaachia kama masharti yao yatakubaliwa

Kama unajua walipo kachukue hiyo Dola milioni 5.
 
Wanaukumbi.

Ni aibu kubwa IDF jeshi ambalo tuliaminishwa kuwa lina kila kitu makomandoo bora kabisa duniani na majingambo ya Netanyahu kuwa tunaingia Rafah kuwarudisha mateka wetu haamna wa kutuzui leo hii Waziri Mkuu wa Israel Netanyahu anasema Israel inatoa zawadi ya $5m kwa yeyote atakayemrejesha mateka kutoka Gaza.

Kwa maaan hiyo jeshi limeshindwa, Mossad, wameshindwa, Marekani na Ulaya wameshindwa.

Sasa wanawaomba wale wanaowapiga mabomu na kuuwa watoto wao leo hii wanataka wawasadie kuwapa pesa wawaonyeshe walipo mateka watawapa pesa.

Hamas, walisema kweli kuwa hata mfanye nini hamuwezi kuwapata mateka wenu.


Huo ndio mwisho wa Gaza chini ya arabs. Masetler ndio wanahamia rasmi
 
Huo ndio mwisho wa Gaza chini ya arabs. Masetler ndio wanahamia rasmi
Fascinating how IDF can assassinate Ismail Haniyeh in Tehran via AI, incinerate Hassan Nasrallah with a highly precise airstrike, kill & maime innocent Lebanese civilians with explosive pagers--but can't fathom how to find their hostages in a dystopian Gaza they created.😅
 
Fascinating how IDF can assassinate Ismail Haniyeh in Tehran via AI, incinerate Hassan Nasrallah with a highly precise airstrike, kill & maime innocent Lebanese civilians with explosive pagers--but can't fathom how to find their hostages in a dystopian Gaza they created.😅
Kawaida mbona
 
Kwa akili yako unafikri hawajui walipo hao mateka?

Wanajua sana, ila kuna magaidi yamewazunguka IDF ikiwasogelea tu magaidi yanaweza kuwapiga vyuma ikawa msala.
 
Waisrael wa juisi y Togwa na Vimanda utowaona apa😆😆😆 aibu kubwa wamejificha kwa aibu. Ukweli wameumbuka kujua Gaza ni jela iloundwa na Israel kila kitu ilikipite lazima wao wajue maji umeme vyote vyaisrael leo unavamiwa kwenye kambi za jesh tena 4 wanajesh wenu wanakamatwa kama mbuzi wanapelekwa jilan tu aya kisha Hamas wanaawambia atutaki vita ila waachieni wapalestia mnao washikilia kinyume cha sheria tupeni ao kamq 10000 nasisi tunawaachia awa wote. Lkn kenge asikii adi damu itoke sikion Netanyahu akatangaza mashuduyake yasiotekelezeka ohh mm ninaJesh kubwa nina Mossad afuu sisi ndio Binadam wenye akili kuliko wengine tumewaaminisha watu kupitia vijiwe vyakiimani kila kona ya ulimwengu mzima na tunajesh la kupigana ata na ulimwengu na wameamini ayo !!!!! NETANYAHU akaja na sasa Hamas chagueni kufa au kujisalimisha kwa IDF mateka wetu mutawaachia au tutawachukua kwanjia ya mtutu sio mezani!!!!! haaaa sasa upende w pili mpalestine na kifo mbona kwao ni chai tu kama chai washaozea kuzikana miaka kwa miaka Hamas wanaume kweli majasili wenye kupigana bila off kufananisha na wengine sasa baada ya vifo vingi pande zote Netanyahu anakuja tena mezani na pesa nyingi kuwanunua mateka wao wajesh wao vijana wamekufa wengi vilema wa miguu mikono macho migongo wkt mwanzo walioambiwa tu tupeni tu wapelesin wetu mnaowashikilia walijua vita inagalama lkn Israel ikachagua iyoiyo Vita ipo ivi uyu Netanyahu anaona Aibu TU kusema sasa sawa tupeni mateka wetu nasi tuwape mateka wenu haaaa ulimwengu utamuona mwehu sana kichwani amna kitu. Ndio akaona atangaze pesa!!! lkn pesa amwage mipesa kwa Hamas lkn azitosaidia kitu kuwapata mateka akiona kimya ujanja ana atakula matapishi yake kwa kukubali Dill na Hamas. Ngoma ngumu tulio aminishwa awa jamaaa wana akili nyingi tumebaki hoiii tukitafakali tunachokiona ni kweli au tunaota !!!
 
Wanaukumbi.

Ni aibu kubwa IDF jeshi ambalo tuliaminishwa kuwa lina kila kitu makomandoo bora kabisa duniani na majingambo ya Netanyahu kuwa tunaingia Rafah kuwarudisha mateka wetu haamna wa kutuzui leo hii Waziri Mkuu wa Israel Netanyahu anasema Israel inatoa zawadi ya $5m kwa yeyote atakayemrejesha mateka kutoka Gaza.

Kwa maaan hiyo jeshi limeshindwa, Mossad, wameshindwa, Marekani na Ulaya wameshindwa.

Sasa wanawaomba wale wanaowapiga mabomu na kuuwa watoto wao leo hii wanataka wawasadie kuwapa pesa wawaonyeshe walipo mateka watawapa pesa.

Hamas, walisema kweli kuwa hata mfanye nini hamuwezi kuwapata mateka wenu.


Nilikuwa namsikiliza commander huyu wa Israel ambaye hakuna vita ya Gaza hakuwacha kupigana. Anasema hakuna tunnel ya Gaza sikuingia ili nipate dalili kama silaha zinatoka Egypt, sijapata isipo kuwa hizo tunnel zote zimefukiwa huwezi kuingiza silaha. Alicho kiri ni kwamba Hamasi wanatengeneza wenyewe silaha kwa kutumia materials rahisi sana, inabidi niwapigie salute.

View: https://youtube.com/shorts/IkZoxQ68lhI?si=ureJCZry5dErqcf9

Wafuasi wa Paulo msikieni Muisrael anasema nini kuhusu ukristo, mpo kuwasifia eti watoto wa mumgu wa wakristo 😄


View: https://youtube.com/shorts/fJAISO9atgc?si=Ts60PcYAUFeUk4IC
 
Kawaida vipi yaani unaweza kuwauwa kina Haniyeh,Nasrallah unashindwa kujua mateka walipo mwaka na kitu sasa na Gaza yote
Ipo chini ya Israel.
Yaan mtu aue watu elfu 43 halafu wewe bado uone 100 ni muhim kuliko kinachoendelea hapo Gaza.
 
Wanaukumbi.

Ni aibu kubwa IDF jeshi ambalo tuliaminishwa kuwa lina kila kitu makomandoo bora kabisa duniani na majingambo ya Netanyahu kuwa tunaingia Rafah kuwarudisha mateka wetu haamna wa kutuzui leo hii Waziri Mkuu wa Israel Netanyahu anasema Israel inatoa zawadi ya $5m kwa yeyote atakayemrejesha mateka kutoka Gaza.

Kwa maaan hiyo jeshi limeshindwa, Mossad, wameshindwa, Marekani na Ulaya wameshindwa.

Sasa wanawaomba wale wanaowapiga mabomu na kuuwa watoto wao leo hii wanataka wawasadie kuwapa pesa wawaonyeshe walipo mateka watawapa pesa.

Hamas, walisema kweli kuwa hata mfanye nini hamuwezi kuwapata mateka wenu.


Hao walishindwa vita kitambo ila ni ubishi wa neta-paka tu!
 
Back
Top Bottom