mtego uliomnasa tumaini na wengine wanaoamini tafiti kama hizo ni uleule uliomnasa makapa na serikali yake. yaani takwimu. hayo ni matokeo ya takwimu na takwimu ni taarifa rasmi, hazijumiishoi taarifa zisizo rasmi. kwa nchi kama yetu ambapo kumbukumbu hufunikwa au haziwekwi sawa, au rushwa kwene maeneo remote hazijumuishwi, vinginevyo labda tungekuwa wa kwanza!
chukulia mfano kiongozi akianzisha kampuni (mfano kingunge ambaye wote tunamjua kuwa hana background ya biashara yoyote tangu ujana wake) basi husinda kila tenda nono na huku tukiambiwa alishindanishwa. kwa hali hiyo hakutawekwa takwimu hapo ya uwezekno wa rushwa.
mathalani mmbo ya 10% kwa kuwa yanafuata documentation nayo pia huwezi kukuta takwimu yake yakihusishwa na rushwa, lakini ni rushwa tena mbaya sana.
tuwe waangalifu na takwimu, ni mitego!